Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Si mlisema hahitaji kampeni sasa kilio cha kwenye majukwaa kila siku ni cha nini kama amejenga stiglaz,sgr,flaiova nk nk ..mbona analia lia majukwaani hadi kutia huruma? Tumemkaba kila kona amesalia kuweweseka tu na kutoa vitisho uzuri watu wanamchana live anafura hasira na kupoteza network anaishia kutoa vitisho.
Huyo mbaguzi wenu tutamchinjia baharini oktoba,kama vipi mchukue uishi nae ndani kwako
kampeni ni wajibu na nilazma atekeleze kwasababu kuna ruzuku chama kinapewa kwa kazi hio so usiwafundishe watu nini cha kufanya kama ww umekaangwa tulia dawa ikuingie vzr sisi hatuhitaji mapovu yako manake hayatusaidii😀😀😀 ww pambana na hali yako
 
Reli bado mnajenga Hadi lini.
Uchumi bado mnajenga Hadi lini.
Barabara bado mnajenga Hadi lini.
Anzeni vitu mkamaliza.... hapa Kazi tuuu kageuka kuwa...twajenga tuu
kwani reli yenu mlijenga kwa siku mbili ?? acheni wivu wa kitoto

bahat nzuri tunajenga reli two phase kwa pamoja na kzi ziko ukingoni
 
Mkopo hupewa tajiri..hebu leo nenda benki kimaskini maskini uone kama utapewa hela.....sisi twakopa Kwa maana tunao uwezo wa kulipa...hebu jaribuni kulipa kama sisi muone kama hamtakuwa district ya chaina...iwe mnaitwa majina kama tundulisu Ching hu, pombe ching li nkl
matajiri wanakopa pesa yakulipa mishahara 😂😂😂😂 kazi munayo japo ukweli munaujua
 
Watu wa dizaini yenu mnakerwa na tatizo lakini hamjui chanzo au mnajifanya hamjui,serikali yenu ya maccm ni hopeless kabisa haitoi pesa za kupima wala haizui watu kujenga ovyo maana hata ukiwazuia watakuuliza pima viwanja tujenge.Nimeongea mara nyingi humu kwamba kwa ccm mtu kuishi kwenye plot inachukuliwa ni kama anasa na pengine wanatakiwa kuishi watu wenye pesa.
Kama viongozi wa ccm wanalipisha charges za maiti kwa mujibu wa Hashimu Rungwe unategemea wataweza nini? Kama viongozi/watendaji wa serikali ya ccm wanawaandikia wagonjwa makaratasi yenye mihuri ya wilaya na mikoa ili wawe omba omba mitaani eti wachangiwe pesa ya matibabu unategemea wataweza nini? Kama maccm wanatuambia kuna elimu bure wakati tunawanunulia watoto wetu kuanzia uniform,madaftari,tunapeleka madawati na tunachangishwa pesa za ujenzi nk nk ,hiyo elimu bure iko wapi? Ni ajabu sana kuona watu wako busy na mandege sijui mareli nk nk at the expense of poor people..evidence umeme uko kila kijiji kwa sasa na bei ya kuingiza ni 27,000 tu lakini huko vijijini unakuta less than 15 people ndio wame connect,no money no strategy ya kuinua kipato chao..maendeleo ya vitu ,Ethiopian economic model
tuliza roho yako hapa😂😂👇👇👇

 
Amid COVID -19 Tanzania is the only country in east and central Africa that is still doing better in terms of annual GDP growth,though the % of growth is not as excpected but we are Not doing as bad as our neighbours
 
Mntakapo tupita....lakini hivi nyie wa tZ mtaamini lini tuko juu yenu Kwa kila jambo????? Kutoelewa Jambo kama hili pia ni upumbavu
hebu orodhesha hayo mambo mliyotupita......kama kwamba kenya kipo Tz hakuna[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom