ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
huyo ndio rais sasa vumilia maumivu mpaka 2025 hatuna haja ya kusikua povu lako maana hazitusaidii ww pambana na hali yako kama amekubana kishipa vumilia tu abane vzr, 😂😂😂😂 CCM oyeeeeeee magu jembeUngemueleza mwenyekiti wako hayo manene ungekuwa umemsaidia sana,kwangu unapoteza mda,mkabila na mbaguzi si unamsikia kila siku sasa makelele na kujikesha kwangu nikusaidiaje? mimi naleta maneno ya mwenyekiti wenu yanayokinzana na ustaarabu wa kitanzania.Si huwa mnawaponda wakenya nyie kwamba wako kikabila na huyo mwenyekiti wenu je? Nitakuwa nawaletea updates za mwenyekiti wenu kadiri anavyobwabwaja




