ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hawa ndio milioneires wakenya wanaotupiwa humu😃😃
wanaiba pesa za loan hawa watu wamelaaniwa 😂😂 alaf wanakimbiza ulaya kuziweka
Hawa ndio milioneires wakenya wanaotupiwa humu😃😃
Uhuru wa kujieleza n nn?Uhuru wa kujieleza 0%[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Naona unatafuta pa kutokeaHi
Hivi huko Chato una boyfriend!? mbona unapataja kila Mara?
Ni kuwakamata watu wanaosema hii nchi sio ya mama Ngina KenyattaUhuru wa kujieleza n nn?
Hyo tunaita hasira za mkizi, manake kw katiba hakunaNi kuwakamata watu wanaosema hii nchi sio ya mama Ngina Kenyatta
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Niliwaambia huu mwaka mtatii tu[emoji23][emoji23]Hahaha!!umewafanya hata sisimizi wankucheka..
Kenya na mabaya yake yote lkn mmetushindwa