Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mntakapo tupita....lakini hivi nyie wa tZ mtaamini lini tuko juu yenu Kwa kila jambo????? Kutoelewa Jambo kama hili pia ni upumbavu
Ww pimbi mnakula chakula cha msada muwe juu ya nani?...
 
Screenshot_20200909-115602.png
 
Pata picha baada ya awamu zote Sita kua tayari...Kimara -chalinze super highway 94.2 km 8lanes...Dar metro ,SGR to mwanza and MGR to northen,Kigoma ,tazara-Zambia, +commuter wow kutakua mtoni sana
Yaap,
The Mighty Salenda Bridge,
Flyovers Mwenge, Morocco, Ubalozi, Kamata, Magomeni, Tabata, Uhasibu
Countless road expansions and Pavements in Dar including Tegeta Bagamoyo with BRT
JNIA chanika With BRT etc
Modernization of Coco Beach, ili Dar tupate watalii kama wote, zile roads zinazounga Salenda bridge ziko kwenye final touches, nimepita jana,
Plus Dodoma Msalato International Airport and Stadium ya Kisasa Dodoma watu tuwe tunaenda na SGR Dom kucheki mechi na Kurudi Dar jioni hiyohiyo..
 
tuliza roho yako hapa😂😂👇👇👇


Tumemsikia anaongea kwa kisukuma eti unaachaje kumchagua wa kabila lako unamchagua mwingine,na sisi tusio wasukuma tutatembea na hiyo biti.
Huyu mkabial wenu soon atawafikisha kuwa kama Wakenya ,Warundi na Wasudani mnaowasemaga humu kwamba wanaukabila.zero brain kabisa
 
Back
Top Bottom