Gwakagwaka
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 526
- 1,426
Mwanaume anachukua mke wake sasa
Mwanaume anachukua mke wake sasa
Nimekuumbua,ndio hivyo mzee ni 31% tu na ilani mumetekeleza ,be it umbea or otherwise huo ndio ukweli umeze tuu maana mumezoea kupotosha hapa jukwaaniACHA USENGE. PELEKA HUU UMBEA WAKO HUKO JUKWAA LA SIASA.
Unadhani naropoka kama wewe,mimi nina ilani ya maccm ya 2015 na ninayo hata ya sasa..soma humo utaona na kuhusu barabara kuna bajeti ya ujenzi mwaka huu na ilani ya maccm inazungumzia hayo..Hata sekta ya afya ilani ilisema kituo cha afya kila kata mumeishia kujenga na kukarabati 500 tu out of 3000 plus..fanya hesabu kama unajua..Unaushahidi? Unahara tu huna facts
Unadhani naropoka kama wewe,mimi nina ilani ya maccm ya 2015 na ninayo hata ya sasa..soma humo utaona na kuhusu barabara kuna bajeti ya ujenzi mwaka huu na ilani ya maccm inazungumzia hayo..Hata sekta ya afya ilani ilisema kituo cha afya kila kata mumeishia kujenga na kukarabati 500 tu out of 3000 plus..fanya hesabu kama unajua..
Bajeti ya kilimo ilipungua over 2/3 ya kiasi cha 2015..you are horrible indeed
Sasa nchi ambayo iko mbele kwa Kila kitu,zinategemeaje mvua kwenye kilimo buda😅😅😅 nchi amabzo ziko mbele zinafanya lrrigation hata Kama nchi yote ni desert,na hazipewi msaada wa chakula.Yaani Kiswahili kingi kina hasara yake. Hekima yenu TZ iko chini sana.
Your IQ is very low..yaani wakati mwingine mimi hata hutaka nije tZ nisimame urais at least niwainue kiasi..yaani mna akili mboga zaidi... ati mnashindana na Kenya..aisee mko nyuma....chakula kiko Kenya..na njaa ikija yaja Kwa sababu za mvua etc na hilo huwa ni zaidi ya akili ya Wana damu...hata tz huwa mwaumia na njaa wakati Fulani
Hivi mzee wewe ni Mkenya mbona una interest sana na Mambo ya Tanzania?Tumemsikia anaongea kwa kisukuma eti unaachaje kumchagua wa kabila lako unamchagua mwingine,na sisi tusio wasukuma tutatembea na hiyo biti.
Huyu mkabial wenu soon atawafikisha kuwa kama Wakenya ,Warundi na Wasudani mnaowasemaga humu kwamba wanaukabila.zero brain kabisa
Hehehe, huyo jamaa sijui hata kama ashaenda hata Darasa moja,Sasa nchi ambayo iko mbele kwa Kila kitu,zinategemeaje mvua kwenye kilimo buda[emoji28][emoji28][emoji28] nchi amabzo ziko mbele zinafanya lrrigation hata Kama nchi yote ni desert,na hazipewi msaada wa chakula.
Ww huwa km mbwa koko kazi kunusanusa tuu..sasa unapoponda hebu jaribu kubalance habari yako ili ilete mana...mfano ungetakiwa n ww useme sisi ofisi ya chama ni hii tangu 1995....siasa ipo cha msingi pambana n maisha yako hakuna atakae kuwekea ugali mezani....ww ni mzito sana...Nimekuumbua,ndio hivyo mzee ni 31% tu na ilani mumetekeleza ,be it umbea or otherwise huo ndio ukweli umeze tuu maana mumezoea kupotosha hapa jukwaani
Ndg kubomoa zote nadhani ni vigumu ila kwa maoni yangu wapitishe barabara za mitaa zilizo pangiliwa vizuri na wote ambao nyumba zao zinapitiwa na barabara walipwe fidia, kukiwa na barabara mitaa itapendeza. Case study niliona mji mmoja kule geita unaitwa buselesele wamefanya hivyo na mitaa imekuwa vizuri.
[emoji3][emoji3][emoji3]kenya ina tabu sana
kwa kenya hilo lazima lifanyike
inabidi tujumuike humu wazalendo tuliopo JF tufanye kitu ili tuipush serikali ili iweze kusimamia hili swala......Kwa hili hata mimi nafikiri ni kitu kinachowezekana kabisa.Yaani Serikali ikubali tu kuingia gharama.Na hii wanaweza kulifanya kidogo kidogo kwa awamu kwa baadhi ya miji,na hasa ile mikubwa kama Dar,Arusha,Mwanza na Mbeya
Hili siyo tu litapendezesha miji lakini pia itaongeza thamani ya maeneo husika na iitawavutia hata watu wenye hela zao kuwalipa fedha ndefu wenyeji kwa ajili ya kuweka majengo mazuri ya biashara
Na , badala ya kujenga tu barabara wanaweza pia kujenga miundombinu ya huduma za jamii kama masoko,stand n.k