Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hili ndio jambo la kuzungumzia mkuu yn ifike kipindi huu uzi uwe na open impact kwa nchi yetu mana yanayofanyika tunayaona na kweli tumeridhika nayo bila kujali tuna hali gn kwa ss but cc co wapuuzi eti tusielewe mikakati ya kuendeleza uchumi wa kweli ilivyo na ndiyo maana tupo humu tukipongeza yaliyo mema kwa taifa but yale ya hovyo pia ni lazima tupambane nayo kwa vyovyote vile ili kuwa na Tz tuliyokuwa tukiiota ambayo vizazi vijavyo vitasema kweli mababu zetu walipambana.

Napendekeza uanzishwe uzi humu wa kuwahusu mipango miji ili tuwaongezee meno cz binafsi naona kama GoT haiiangalii hii ofisi kwa jicho la mwewe, naomba tuanzishe uzi wa kuhusu umuhimu wa kuzingatia ujenzi wa kufuata ramani.


So naunga mkono hoja.
ni kweli ichoboy01 NDINDA Annael Geza Ulole tuusan Simon game over babayao255 Tanzanianist Mgagaa na Upwa spencer

nawengineo wakuu tuna shughuli zinazotubana lakini kwa hili kuhusu mipango miji tufanye jambo
 
Hehehe, huyo jamaa sijui hata kama ashaenda hata Darasa moja,
Yaani ana Akili ndogo balaa, Ni Mpumbavu na hafundishiki, Imagine hata vitu vidogo hivi hawezi kureason,
Na ndio majority of Kenyans wako hivi
Wakenya wengi hata fb na twitter,wanasema wako mbele ya TZ kwa kila kitu,nikiwauliza wataje wako mbele kwa kitu gani,wanakimbia😃😃 yaani wajinga kweli.
 
Hii ndio dawa ya wasio kuwa na adabu humu jf.
IMG_20200909_231727_401.JPG
 
Hili ndio jambo la kuzungumzia mkuu yn ifike kipindi huu uzi uwe na open impact kwa nchi yetu mana yanayofanyika tunayaona na kweli tumeridhika nayo bila kujali tuna hali gn kwa ss but cc co wapuuzi eti tusielewe mikakati ya kuendeleza uchumi wa kweli ilivyo na ndiyo maana tupo humu tukipongeza yaliyo mema kwa taifa but yale ya hovyo pia ni lazima tupambane nayo kwa vyovyote vile ili kuwa na Tz tuliyokuwa tukiiota ambayo vizazi vijavyo vitasema kweli mababu zetu walipambana.

Napendekeza uanzishwe uzi humu wa kuwahusu mipango miji ili tuwaongezee meno cz binafsi naona kama GoT haiiangalii hii ofisi kwa jicho la mwewe, naomba tuanzishe uzi wa kuhusu umuhimu wa kuzingatia ujenzi wa kufuata ramani.


So naunga mkono hoja.
Good,

Uzi uanzishwe kule kwenye jukwaa la habari mchanganyiko.
 
Back
Top Bottom