Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani Kiswahili kingi kina hasara yake. Hekima yenu TZ iko chini sana.
Your IQ is very low..yaani wakati mwingine mimi hata hutaka nije tZ nisimame urais at least niwainue kiasi..yaani mna akili mboga zaidi... ati mnashindana na Kenya..aisee mko nyuma....chakula kiko Kenya..na njaa ikija yaja Kwa sababu za mvua etc na hilo huwa ni zaidi ya akili ya Wana damu...hata tz huwa mwaumia na njaa wakati Fulani
 
Acha ujinga wewe
Mjinga ni wewe mpiga zumari,maccm yametekeleza 31% tu ya ilani yao na hakuna kilichokamilika toka 2015..kama km 300 za reli tembo mweupe zinachukua miaka 4 ,hizo za kufika huko usukumani mnakohangaika zitachukua miaka mingapi?
Kama miaka 5 imepita mumejenga chini ya km 5000 za lami ya bei ya chini yaani surface dressing,hizo mlizotaja kwenye ilani hewa ya sasa w unaona mtaweza? poleni sana mwisho wa uongo wenu ni oktoba
 
Yaani Kiswahili kingi kina hasara yake. Hekima yenu TZ iko chini sana.
Your IQ is very low..yaani wakati mwingine mimi hata hutaka nije tZ nisimame urais at least niwainue kiasi..yaani mna akili mboga zaidi... ati mnashindana na Kenya..aisee mko nyuma....chakula kiko Kenya..na njaa ikija yaja Kwa sababu za mvua etc na hilo huwa ni zaidi ya akili ya Wana damu...hata tz huwa mwaumia na njaa wakati Fulani
As u speak Kunyaland has hunger with ur kizungu mingi na the highest IQ! Swahili mingi guys r feeding u guys..
 
As u speak Kunyaland has hunger with ur kizungu mingi na the highest IQ! Swahili mingi guys r feeding u guys..
You are not feeding us..we are buying from you so that you can have money to buy credit for your phones..the only thing you can do is farming..if we don't buy your produce mtatoa wapi pesa za Karo,matibabu, credit, na nauli...na mtushukuru Sana kwa kuwa jengea uchumi....leo hii tukisema hatununui mtahangaika aiseee..
Kwa ufupi ni kazi ya masikini kuraukia shambani akatoe jasho ili mazao yakiwa tayari tajiri aje anunue na kizungu chake....kazi yetu ni kuuliza tu...how MUCH is this...funga yote hela sio shida
 
Reli bado mnajenga Hadi lini.
Uchumi bado mnajenga Hadi lini.
Barabara bado mnajenga Hadi lini.
Anzeni vitu mkamaliza.... hapa Kazi tuuu kageuka kuwa...twajenga tuu
 
Yaani Kiswahili kingi kina hasara yake. Hekima yenu TZ iko chini sana.
Your IQ is very low..yaani wakati mwingine mimi hata hutaka nije tZ nisimame urais at least niwainue kiasi..yaani mna akili mboga zaidi... ati mnashindana na Kenya..aisee mko nyuma....chakula kiko Kenya..na njaa ikija yaja Kwa sababu za mvua etc na hilo huwa ni zaidi ya akili ya Wana damu...hata tz huwa mwaumia na njaa wakati Fulani
Lini Tanzania tulipata njaa, lini Tanzania tuliuana kwa misingi ya ukabila?, lini Tanzania tulipokea misaada ya Chakula toka nje?, Lini Tanzania tumeongoza kwa Slums Africa?. Wapi wananchi wanauliwa na polisi kila siku, wapi pesa za wananchi wanaibiwa na wanasiasa lakini serikali haina la kufanya?, wapi wanatumia lugha ya Kiingereza zaidi kuliko lugha yao ya Taifa kwasababu bado akili zao zinatawaliwa na wazungu?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
You are not feeding us..we are buying from you so that you can have money to buy credit for your phones..the only thing you can do is farming..if we don't buy your produce mtatoa wapi pesa za Karo,matibabu, credit, na nauli...na mtushukuru Sana kwa kuwa jengea uchumi....leo hii tukisema hatununui mtahangaika aiseee..
Kwa ufupi ni kazi ya masikini kuraukia shambani akatoe jasho ili mazao yakiwa tayari tajiri aje anunue na kizungu chake....kazi yetu ni kuuliza tu...how MUCH is this...funga yote hela sio shida
Vipi Kama mpo na pesa ya kununua lakini mnapokea Chakula cha Masada?, vipi mnakopa kila siku ili kununua Chakula. For your information 80% of our food market is in SADC countries, huko soko ni kubwa kuliko uwezo wetu wa kulitoshekeza, Kenya mnatuomba tuwauzie, tukiacha kuwauzia mtakufa njaa

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Watu wa dizaini yenu mnakerwa na tatizo lakini hamjui chanzo au mnajifanya hamjui,serikali yenu ya maccm ni hopeless kabisa haitoi pesa za kupima wala haizui watu kujenga ovyo maana hata ukiwazuia watakuuliza pima viwanja tujenge.Nimeongea mara nyingi humu kwamba kwa ccm mtu kuishi kwenye plot inachukuliwa ni kama anasa na pengine wanatakiwa kuishi watu wenye pesa.
Kama viongozi wa ccm wanalipisha charges za maiti kwa mujibu wa Hashimu Rungwe unategemea wataweza nini? Kama viongozi/watendaji wa serikali ya ccm wanawaandikia wagonjwa makaratasi yenye mihuri ya wilaya na mikoa ili wawe omba omba mitaani eti wachangiwe pesa ya matibabu unategemea wataweza nini? Kama maccm wanatuambia kuna elimu bure wakati tunawanunulia watoto wetu kuanzia uniform,madaftari,tunapeleka madawati na tunachangishwa pesa za ujenzi nk nk ,hiyo elimu bure iko wapi? Ni ajabu sana kuona watu wako busy na mandege sijui mareli nk nk at the expense of poor people..evidence umeme uko kila kijiji kwa sasa na bei ya kuingiza ni 27,000 tu lakini huko vijijini unakuta less than 15 people ndio wame connect,no money no strategy ya kuinua kipato chao..maendeleo ya vitu ,Ethiopian economic model
We jamaa unatukosea sana kutuletea mambo ya siasa humu, unatupotezea ladha ya uzi
 


Sikia mambo wanafanya mpakani hawe wehu
Adjustments.jpg
 

Mkopo hupewa tajiri..hebu leo nenda benki kimaskini maskini uone kama utapewa hela.....sisi twakopa Kwa maana tunao uwezo wa kulipa...hebu jaribuni kulipa kama sisi muone kama hamtakuwa district ya chaina...iwe mnaitwa majina kama tundulisu Ching hu, pombe ching li nkl
 
Utaweweseka sana ,kwenye hili jukwaa mimi ndio huwa nawatoa nishai nyie wapiga pambio mnakera kama matapishi,mnafukarisha watu vijijini na mijini kwa sera zenu za kiutopolo ,mnataka watu waanze kukimbia nchi yao kama Ethiopia?

Hahaha wewe unasumbua hili jukwaa? Hebu amka kwenye hiyo ndoto wewe nyang`au.. hakuna anaetambua uwepo wako hapa.. ni kelele zako tu hapa the way you clapping and we ain`t seeing your hand... that`s what people see it here.. nothing else.
 
Back
Top Bottom