Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkopo hupewa tajiri..hebu leo nenda benki kimaskini maskini uone kama utapewa hela.....sisi twakopa Kwa maana tunao uwezo wa kulipa...hebu jaribuni kulipa kama sisi muone kama hamtakuwa district ya chaina...iwe mnaitwa majina kama tundulisu Ching hu, pombe ching li nkl
Kuna tajiri anayekufa kwa njaa?, au anayetegemea Chakula cha Masada?, au anayeshindwa kumalizia reli wachina wanapikataa kutoa mkopo?.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani Kiswahili kingi kina hasara yake. Hekima yenu TZ iko chini sana.
Your IQ is very low..yaani wakati mwingine mimi hata hutaka nije tZ nisimame urais at least niwainue kiasi..yaani mna akili mboga zaidi... ati mnashindana na Kenya..aisee mko nyuma....chakula kiko Kenya..na njaa ikija yaja Kwa sababu za mvua etc na hilo huwa ni zaidi ya akili ya Wana damu...hata tz huwa mwaumia na njaa wakati Fulani
The Banana Repuplic of Kunyaland
K.jpg
 
Mjinga ni wewe mpiga zumari,maccm yametekeleza 31% tu ya ilani yao na hakuna kilichokamilika toka 2015..kama km 300 za reli tembo mweupe zinachukua miaka 4 ,hizo za kufika huko usukumani mnakohangaika zitachukua miaka mingapi?
Kama miaka 5 imepita mumejenga chini ya km 5000 za lami ya bei ya chini yaani surface dressing,hizo mlizotaja kwenye ilani hewa ya sasa w unaona mtaweza? poleni sana mwisho wa uongo wenu ni oktoba
Unaushahidi? Unahara tu huna facts
 
Ndg kubomoa zote nadhani ni vigumu ila kwa maoni yangu wapitishe barabara za mitaa zilizo pangiliwa vizuri na wote ambao nyumba zao zinapitiwa na barabara walipwe fidia, kukiwa na barabara mitaa itapendeza. Case study niliona mji mmoja kule geita unaitwa buselesele wamefanya hivyo na mitaa imekuwa vizuri.
Brilliant idea. Serikali za mji, manispaa na majiji akiamua kupangilia miji yetu kwa lengo la kuondoa makazi holela inawezekana japo gharama za kulipa fidia hazitakwepeka. Cha msingi liwe jambo endelevu maana uwezo wa kulipa fidia kwa wakati mmoja wale wote watakaobomolewa nyumba zao linaweza kuwa gumu. Kama watawalipa in phases naamini baada ya miaka 10 hadi 20 ijayo miji yetu inaweza kuwa na mpangalio mzuri wa makazi na huduma za jamii. I wish ningekuwa mfanya maamuzi katika hili jambo maana katika mambo yanayonikera ni pamoja kuona makazi holela bila miundombinu mizuri. huwa nasikitika sana kuona watu wanajenge jenga hovyo bila mpangilio.
 
Mjinga ni wewe mpiga zumari,maccm yametekeleza 31% tu ya ilani yao na hakuna kilichokamilika toka 2015..kama km 300 za reli tembo mweupe zinachukua miaka 4 ,hizo za kufika huko usukumani mnakohangaika zitachukua miaka mingapi?
Kama miaka 5 imepita mumejenga chini ya km 5000 za lami ya bei ya chini yaani surface dressing,hizo mlizotaja kwenye ilani hewa ya sasa w unaona mtaweza? poleni sana mwisho wa uongo wenu ni oktoba
ACHA USENGE. PELEKA HUU UMBEA WAKO HUKO JUKWAA LA SIASA.
 
Back
Top Bottom