joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Wenye akili wanaanza kuona mwanga
Mkuu kwn unadhani hata Wakenya wa humu hawaujui ukweli?
Wenye akili wanaanza kuona mwanga



Kweli wamechanganyikiwa mpka wanatwangana wenyewwanaiongelea Tanzania afu wanapeana vitasa wenyewe kwa wenyewe kuhusu Tanzania







Dar Es salaam Metro loading.......Heheheheheeee wallahi moto utawaka kwa Tz hii mpya, angalia jinsi reli za sgr zitakavyotandazwaView attachment 1561442
Yah nimeiona mkuu ss nikajiuliza ndo ile aliyosema Walker nn?Dar Es salaam Metro loading.......
View attachment 1561447
Nnachopenda ktk serikali hii ni ufuatiliaji, wanakupa eneo na wanafuatilia kwa karibu co km kipindi kile unapewa eneo kwa lengo la kufungua kiwanda lkn hawakufuatilii mwishowe wawekezaji hewa wakawa wanafugia mbuzi.
Uyu mzee sio joker for real....Heheheheheeee wallahi moto utawaka kwa Tz hii mpya, angalia jinsi reli za sgr zitakavyotandazwaView attachment 1561442
watajenga pia kiwanda cha maziwa!Nnachopenda ktk serikali hii ni ufuatiliaji, wanakupa eneo na wanafuatilia kwa karibu co km kipindi kile unapewa eneo kwa lengo la kufungua kiwanda lkn hawakufuatilii mwishowe wawekezaji hewa wakawa wanafugia mbuzi.
Na anachowachanganya ccm walaji ni kwamba hayo yaliyo kwenye manifesto anayafanya kweli tofauti na kipindi kile unakuta kilichoandikwa kwenye ilani hakifanyiki japo kwa asilimia 30 lkn huyo mzee atahakikisha hyo ilani japo asilimia zaidi ya 80 anaitekeleza na hyo ndiyo tofauti.Uyu mzee sio joker for real....
Hii ni zaidi ya balaaaHeheheheheeee wallahi moto utawaka kwa Tz hii mpya, angalia jinsi reli za sgr zitakavyotandazwaView attachment 1561442