Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

PK hana huo ujinga wa kuiga iga ili kumfurahisha Magu at expenses ya uchumi wa watu wake,kwanza Magu keshalikoroga na upande wa Rwanda na Uganda kiasi kwamba kila mtu anamshangaa,worse enough anatuharibia biashara yetu ya mbao na horticulture.
Oktoba tunaondoa hii laggage
😄😄😄
 
Ndio sasa mnaelewa kati ya inchi tajiri na maskini....construction boom yenu hata haikuenda zaidi ya miaka mitano,lakini yetu ni kutoka 1968 hadi sasa tunaendelea tuView attachment 1556912
Jiwe kaua sekta binafsi hasa ya ndani ya nchi,pesa zote kapeleka kwenye miradi tembo mweupe na hazijatosha na kakopa kuliko president yoyote katika historia ya Tzn ndio maana unaona hana uhakika wa kupita matumaini yake ni policcm,necccm nk ila kila sehemu watu hawamuelewi na audio zake za sgr,ndege ,stiglaz yaani kachuja hadi huruma.
Juzi kati alikuwa anaomba kuhurumiwa na kapanic hadi sio vizuri.Tunamsubiri oktoba
Boom ya ujenzi wa kibiashara iliondoka na JK kwa sababau yeye alitoa uhuru mkubwa kwa sekta binafsi ila huyu kaja na style ya Ethiopia yaani hatutaki hata kumuona na mailani yake ya ndege ambazo hakuna anaejua bei yake ila yeye na kikundi chake anatufukarisha
 
ksh 28 inakutoa jasho kavu mpaka unaishia kulala njaa.

umeona mwenzako kule juu yuko twitter analiga business ya unga kutoka tz, wewe ukikula jeuri yako hapa na maneno zq bei chee.
We wa wapi, mpunga wa ksh 28 ndi wa kumsifia mtu jamani..
Huo labda utoe msaada
 
PK hana huo ujinga wa kuiga iga ili kumfurahisha Magu at expenses ya uchumi wa watu wake,kwanza Magu keshalikoroga na upande wa Rwanda na Uganda kiasi kwamba kila mtu anamshangaa,worse enough anatuharibia biashara yetu ya mbao na horticulture.
Oktoba tunaondoa hii laggage
Ndoto pasipo na kitanda
 
PK hana huo ujinga wa kuiga iga ili kumfurahisha Magu at expenses ya uchumi wa watu wake,kwanza Magu keshalikoroga na upande wa Rwanda na Uganda kiasi kwamba kila mtu anamshangaa,worse enough anatuharibia biashara yetu ya mbao na horticulture.
Oktoba tunaondoa hii laggage
Yani kwa
 
Ilani ya CCM upande wa Barabara naona wameamua kama noma na iwe Noma
2020-2025 View attachment 1560529View attachment 1560530
Hili linawezekana tu kama wataacha miradi yao ya tembo mweupe ya sgr,stiglaz ,mindege ,masteni nk la sivyo hii ni ndoto maana toka Magu adanganye kuunganisha nchiyote kwa lami hadi leo hii hakuna cha maana kimefanywa na mbaya zaidi hatumchagui
 
Back
Top Bottom