Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nnavyoona JPM anasubri aone commitment ya Rwanda kam wanataka kujenga Kigali-Rusumo..before kuamua ajenge...maana hamna umaana kujenga reli hadi rusumo kama Rwanda atafeli kujenga yake
PK hana huo ujinga wa kuiga iga ili kumfurahisha Magu at expenses ya uchumi wa watu wake,kwanza Magu keshalikoroga na upande wa Rwanda na Uganda kiasi kwamba kila mtu anamshangaa,worse enough anatuharibia biashara yetu ya mbao na horticulture.
Oktoba tunaondoa hii laggage
 
PK hana huo ujinga wa kuiga iga ili kumfurahisha Magu at expenses ya uchumi wa watu wake,kwanza Magu keshalikoroga na upande wa Rwanda na Uganda kiasi kwamba kila mtu anamshangaa,worse enough anatuharibia biashara yetu ya mbao na horticulture.
Oktoba tunaondoa hii laggage
huyu jamaa sijui yupo sayari gani!! unaota kweli, watu kama ww hamfai kabisa kwenye shughuli zozote zile za maendeleo mnakosa uzalendo kabisa na kurudisha sana watu nyuma yani ww huoni jema lolote lile umekalia ubaya ubaya tu na chuki za ajabu au sababu kubwa kibarua chko hicho cha mbao kimeota nyasi? kama ni hvyo basi nikuhabarishe kuwa hakuna mtu aliokuwa hakuyumba kiuchumi kwenye awamu hii kwa njia moja ama nyengine ila angalau mambo mengi yanafanyika sana tu na yanaonekana ila ww unajifanya kipofu kabisa, kama ni vitani basi ww utakuwa umefanya "Mutiny" na ni wakupigwa risasi tu..... shwaainnnn🤬😡😡
 
PK hana huo ujinga wa kuiga iga ili kumfurahisha Magu at expenses ya uchumi wa watu wake,kwanza Magu keshalikoroga na upande wa Rwanda na Uganda kiasi kwamba kila mtu anamshangaa,worse enough anatuharibia biashara yetu ya mbao na horticulture.
Oktoba tunaondoa hii laggage
Kama kuna mradi muhimu kwa Rwanda sasa hivi ni huu wa SGR, Kagame yupo radhi kusimamisha kila kitu kwa ajili ya mradi huu.
 
PK hana huo ujinga wa kuiga iga ili kumfurahisha Magu at expenses ya uchumi wa watu wake,kwanza Magu keshalikoroga na upande wa Rwanda na Uganda kiasi kwamba kila mtu anamshangaa,worse enough anatuharibia biashara yetu ya mbao na horticulture.
Oktoba tunaondoa hii laggage

Hii reli kwa Rwanda ni muhimu zaidi kuliko hata ilivyo kwa Tanzania, kwao ni "game changer"
 

Kitanda usichoikilalia hujui kunguni wake,hao wakenya washukuru kwamba wanaweza zungumza chochote kwenye media na social media bila bugudha,wangekua huku bongo ndio wangeelewa maana ya kufugwa na kunyimwa freedom of expression
 
Kitanda usichoikilalia hujui kunguni wake,hao wakenya washukuru kwamba wanaweza zungumza chochote kwenye media na social media bila bugudha,wangekua huku bongo ndio wangeelewa maana ya kufugwa na kunyimwa freedom of expression
Mbona hueleweki jombaa, hao wanazungumzia watu kukusanyika kwa wingi kipindi hiki cha Corona bila kuvaa barakoa na Social distance, wewe unazungumzia kuzibwa midomo, sasa unataka tuchangie lipi?, Corona au freedom of expression?
 
upatikanaji wa umeme kutoka 36 mpk 70%
View attachment 1554716
Ndio maana maccm yanakataliwa kila sehemu na yamepandwa na joto kama la bleed..Kama hapo section (a) umeme uko surplus kuna haja gani ya kutumia tilion of money kuzalisha iddle electricity? kwa nini lisingejengwa bwawa la mgwt 400 na pesa zingine zikafanye mambo mengine ya msingi ya kuinua vipato vya wananchi? maccm kichwani ni bure kabisa,tutawanyoosha oktoba kwa matumizi mabaya ya pesa za sie walipakodi
 
Ndio maana maccm yanakataliwa kila sehemu na yamepandwa na joto kama la bleed..Kama hapo section (a) umeme uko surplus kuna haja gani ya kutumia tilion of money kuzalisha iddle electricity? kwa nini lisingejengwa bwawa la mgwt 400 na pesa zingine zikafanye mambo mengine ya msingi ya kuinua vipato vya wananchi? maccm kichwani ni bure kabisa,tutawanyoosha oktoba kwa matumizi mabaya ya pesa za sie walipakodi

Wishiful thinking
 
Kitanda usichoikilalia hujui kunguni wake,hao wakenya washukuru kwamba wanaweza zungumza chochote kwenye media na social media bila bugudha,wangekua huku bongo ndio wangeelewa maana ya kufugwa na kunyimwa freedom of expression
wewe una mimba changa bro!!!

unalalama huna uhuru wa kuharisha na wakati uko unabwabwaja utumbo hapa watu tunakuangalia tu.
 
Yaani Hawa watu Wana maisha magumu aise!mfano hapa Tabora,Bei ya vyakula iko Hivi,

Mchele 1kg=Ksh28
Unga1kg=Ksh32
Nimewawekea kwa pesa yao ili wasipate shida ya ku convert. Ndio maana huwa nawashangaa wanaposema eti watumishi wa TZ wanalipwa mishahara midogo wakati mishahara ya watumishi wa kenya inaishia kwenye chakula.
Unatusifia na mpunga hapa
Alafu uache kuorodhesha vitu local kw ksh
 
Unatusifia na mpunga hapa
Alafu uache kuorodhesha vitu local kw ksh
ksh 28 inakutoa jasho kavu mpaka unaishia kulala njaa.

umeona mwenzako kule juu yuko twitter analiga business ya unga kutoka tz, wewe ukikula jeuri yako hapa na maneno zq bei chee.
 
Back
Top Bottom