Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shida ya Kenya ni kutaka kuwa hub huku wakicompete na jirani zake Ethiopia na Rwanda halafu anamletea uhuni na dharau jirani yake mwenye soko kubwa kuliko wote EA
Huyo jamaa ni mjinga sana, yaani mpaka hapo ameharibu, he is trying to be on top of everything and everyone, yaani anajihakikishia ushindi kabla hata ya Mechi, poor Kenyans..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo jamaa ni mjinga sana, yaani mpaka hapo ameharibu, he is trying to be on top of everything and everyone, yaani anajihakikishia ushindi kabla hata ya Mechi, poor Kenyans..

Sent using Jamii Forums mobile app
Watasbr sasa this time lazima wakubali ATCL nayo iingie Kenya ili wao warushusiwe kuja Tanzania
 
Shida ya Kenya ni kutaka kuwa hub huku wakicompete na jirani zake Ethiopia na Rwanda halafu anamletea uhuni na dharau jirani yake mwenye soko kubwa kuliko wote EA
Tatizo la wakenya lipo kichwani, hawa jamaa hawajui nini wanataka na kitu gani kitatokea kesho yao na jinsi gani wajikinge, kwa kifupi ni watu wa hovyo sanaa

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Watasbr sasa this time lazima wakubali ATCL nayo iingie Kenya ili wao warushusiwe kuja Tanzania
Kuruhusiwa kuingia Kenya halijawahi kuwa ni tatizo, ATCL imeiweka route ya Nairobi Katika hawamu ya nne ianze baada ya kupokea Airbuszingine mbili, sasa hivi hatuna ndege za kutosha, hatujakatazwa kwenda Nairobi

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kuruhusiwa kuingia Kenya halijawahi kuwa ni tatizo, ATCL imeiweka route ya Nairobi Katika hawamu ya nne ianze baada ya kupokea Airbuszingine mbili, sasa hivi hatuna ndege za kutosha, hatujakatazwa kwenda Nairobi

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Wacha kujisadikisha ATCL haina permit ya kutua JKIA bado! kuweka route kama future plan haimaanishi muda ukifika unatua! source ya figisu ya hii dispute inaaanzia hapo! Na GoT inapaswa kung'ang'ania routes zote za Dar-Nairobi, Kilimanjaro-Nairobi, Arusha-Nairobi, Zanzibar-Mombasa, Zanzibar-Nairobi, Mwanza-Nairobi na Mbeya-Nairobi! Isiingie makubaliano bila ya kupewa permit ya routes hizi!
 
Ilani ya CCM upande wa Barabara naona wameamua kama noma na iwe Noma
2020-2025
Screenshot_2020-09-06-14-54-49.jpg
Screenshot_2020-09-06-14-55-14.jpg
 
Wacha kujisadikisha ATCL haina permit ya kutua JKIA bado! kuweka route kama future plan haimaanishi muda ukifika unatua! source ya figisu ya hii dispute inaaanzia hapo! Na GoT inapaswa kung'ang'ania routes zote za Dar-Nairobi, Kilimanjaro-Nairobi, Arusha-Nairobi, Zanzibar-Mombasa, Zanzibar-Nairobi, Mwanza-Nairobi na Mbeya-Nairobi! Isiingie makubaliano bila ya kupewa permit ya routes hizi!
Tatizo lako Geza ulole wakati fulani unapenda kuzungumza vitu toka kichwani mwako bila ushahidi wala uhakika wowote ule, mkurugenzi mkuu wa ATCL alishatoa maelezo kuhusu route ya Nairobi, wewe haya unayosema yametoka wapi?

Hivi unajua sheria na taratibu zinazotumika wakati wa kuingia makubaliano ya kuruhusu ndege za nchi fulani kutumia anga na viwanja vya ndege vya nchi nyingine?, sheria inasema lazima kuwe na usawa, kama ndege za Kanya ziliruhusiwa kuja TZ, basi ni lazima ndege za Tanzania kuruhusiwa kwenda Kenya, lakini hiyo haina maana kwamba hakuna kuomba kibali, lazima nchi iombe kibali

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hii ya Chalinze - Moro - Dodoma ingepigwa double road ingekuwa poa sana. Haipendezi unatoka DSM na njia nane then chalinze mnaanza kupishana
Chalinze ni mbali na mji sana bado hawajachelewa kikubwa miaka mitano ijayo wawe wamefika Chalinze kwanza...Ukiangalia utaona wanaanza na Moro-Dom kutanua iwe njia nne kwahyo kipande kilichobaki ndio hicho cha chalinze -Moro
 
Back
Top Bottom