Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KQ kwenye game kitambo na walidominate soko walifanikiwa kulipia full ndege 3 out of 20. Kazi kweli kweli . Halafu uhuru kwa nini angekuja mwenye wakifanya meeting na mkuu mambo yanaisha maana watu wengi hapo wanakosa ajira kwa KQ kutokuja tz . Sipati picha wafanyakazi na masupplier wa KQ wanavyo hussle
Nionyeshe hzo 20 ambazo tumechukua kw loans
Alaa!!mbna mnajitoa ufahamu, ama kw urahisi niletee ripoti inayosema km tume lease 20 na 20 tumechukua kw loan
 
Tunawakimbiza kweli kweli
IMG_20200831_165304.png
 
Kuna mmoja huko Twitter anatukandia kwann Gari Tunaliita Nyumbu.. anaulizwa ikiitwa Wildebeest!? Anasema afadhali..

Nikaona kweli Hawa ni pipa na mfuniko.. eeempty . Toka mbwanyenye wamewaambia hizi zinaitwa city square.. Basi ukiwaambia mnazi mmoja wao mpaka wasikie square..ndio wanaridhika..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Uyu mjomba cjui atakuwa na miaka mingapi wallahi, haya ndo mambo tuliyakosa enzi zile, yn mambo mengi ya ajabu hayakuwa yakitangazwa duniani kuhusu Tz, wao walikuwa bize na upigaji tu km walivyo Wakenya, lkn leo nchi inag'aa kila kona aisee natumai tutafikia watalii milioni 4 soon tukiwa tunaitafuta milioni 6 Zen 10 km focus inavyosema.
Mkuu upigaji ni kitu cha kijinga saana....nakumbuka Nyalandu alienda na kina Aunt Ezekiel kutangaza Utalii Ulaya...Aunt mwenyewe akiulizwa Serengeti hata hajui iko wapi...Upigaji ni wa kulaani milele.. Magufuli Hoyee!!
 
Back
Top Bottom