Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 2,218
- 4,043
Ndo kwanza inazidi kuwa historia, sisi tunpakimbizana npa Uchumi wetu tuu.Yn wakenya bado wanaongea kuhusu corona wkt cc wala hatuna mawazo hayo kabisa, naona sonko ndo amekubali leo![]()
Ndo kwanza inazidi kuwa historia, sisi tunpakimbizana npa Uchumi wetu tuu.Yn wakenya bado wanaongea kuhusu corona wkt cc wala hatuna mawazo hayo kabisa, naona sonko ndo amekubali leo![]()
Nionyeshe hzo 20 ambazo tumechukua kw loansKQ kwenye game kitambo na walidominate soko walifanikiwa kulipia full ndege 3 out of 20. Kazi kweli kweli . Halafu uhuru kwa nini angekuja mwenye wakifanya meeting na mkuu mambo yanaisha maana watu wengi hapo wanakosa ajira kwa KQ kutokuja tz . Sipati picha wafanyakazi na masupplier wa KQ wanavyo hussle



Emanuel tayari anafanya knightfrank ya chato siokwahio na hawa knight frank ni citizen siyo.....utaumia sn na naona wasani wenu wankimbilia nchi ya asali kuokota senti
View attachment 1552938


Kuna mmoja huko Twitter anatukandia kwann Gari Tunaliita Nyumbu.. anaulizwa ikiitwa Wildebeest!? Anasema afadhali..
Nikaona kweli Hawa ni pipa na mfuniko.. eeempty. Toka mbwanyenye wamewaambia hizi zinaitwa city square.. Basi ukiwaambia mnazi mmoja wao mpaka wasikie square..ndio wanaridhika..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app



Awamu hii maghala yamejengwa makubwa ajabu
japo hakuna anayekujua humu ila jua unajichoresha unaonekana mjinga kulikoWapi hapo kumeandikwa 20 leased na 20 loans
Kumbe huelewi
Mkuu upigaji ni kitu cha kijinga saana....nakumbuka Nyalandu alienda na kina Aunt Ezekiel kutangaza Utalii Ulaya...Aunt mwenyewe akiulizwa Serengeti hata hajui iko wapi...Upigaji ni wa kulaani milele.. Magufuli Hoyee!!Uyu mjomba cjui atakuwa na miaka mingapi wallahi, haya ndo mambo tuliyakosa enzi zile, yn mambo mengi ya ajabu hayakuwa yakitangazwa duniani kuhusu Tz, wao walikuwa bize na upigaji tu km walivyo Wakenya, lkn leo nchi inag'aa kila kona aisee natumai tutafikia watalii milioni 4 soon tukiwa tunaitafuta milioni 6 Zen 10 km focus inavyosema.
Angaliei haw kunyalandi
Daah,wanakalishwa Mbaya mbovuAngaliei haw kunyalandi
Hz roads ndo huwa wanazitupia humu frequentlyAngaliei haw kunyalandi



naona Justinr kaamua kuwachana na title ya "Kunyans" twitter!Daah,wanakalishwa Mbaya mbovu
Tukisema Tanzania ni nchi ya maziwa na asali wakenya wanasema sio kweli, huyu mganda yeye amekwenda mbali zaidi, kwake yeye amelinganisha na peponi japo hajafika



