Wanabadilishana tu kutuongelea leo Mkenya kesho Mganda keshokutwa Mmarekani mara Mrusi bila kujua kwamba wanatuongezea idadi ya watalii hahahaha kweli usibishane na muda unapofika, hadi raha wajuba




Wanabadilishana tu kutuongelea leo Mkenya kesho Mganda keshokutwa Mmarekani mara Mrusi bila kujua kwamba wanatuongezea idadi ya watalii hahahaha kweli usibishane na muda unapofika, hadi raha wajuba![]()
r.i.p wacko jack daah huyo jamaa alikuwa ni kiboko.. nilijua ataingia na jet pack kama Wacko Jacko bana. Ila sio mbaya, ametisha.
Huyo mwamba hakuna mfanowe.r.i.p wacko jack daah huyo jamaa alikuwa ni kiboko