Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

iphone 11 pro NDINDA nipe marks😂👇
48340A1D-6BD2-4F2F-8177-BCF4765F6669.jpeg
5D183B4E-0F6F-44CD-8D6B-4411B8889323.jpeg
CB584AF7-E31A-44CC-AF56-CA3A72FCD5CF.jpeg
2382E66B-7F11-45D7-8FD3-CFE672183A3A.jpeg
 
Aisee kumbe ligi yetu inapiga hatua sana. In recent days nimeona mpira wetu unatrend sana Africa. Cheki wapopo wanashangaa vyuti vya Yanga, wakiwish one day clubs zao zifike hapo. Sisi tunachukulia poa aisee.


Mkuu now ni half time vijana wng wa jangwani wanatufurahisha wananchi, uwanja umependeza njano tupu kudadadeki no red hapa cz no danger here (corona) Yanga raha sn wallahi Tz km ulaya aisee watu wengi mno ustaarabu kwa kwenda mbele
 
I came to realize that this late
Dah yaani Ukisikia akili visoda ni wakenya, wana IQ ndogo kichizi, mbaya ni kwamba hawajashtuka
Mm ningalikuwa na uwezo ningaliihamisha hii nchi tusipate kuwa karibu nayo yn ni afadhali tuwe karibu na wahabeshi kuliko hawa watu ni wabinafsi mnoo yn ktk jambo ambalo naona ni mkosi kwa nchi yetu basi kuwa karibu na kenya ni heri kuwa karibu na Afghanistan kuliko kuwa karibu na hawa wasenge wanaojiita Wakenya.
 
Wakuu leo nimetoka TRA kulipia mzigo wangu toka China, katika kodi nilizolipa ni "Railway Development Levy", nikaambiwa hiyo ni kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya reli hapa nchini, ni 1.5% ya thamani ya mzigo.

Japo nimelipa pesa nyingi Sana, lakini moyo wangu ni mweupe kwasababu ninajua pesa yangu inafanya kazi, pia inaiwezesha serikali yetu kuachana na mikopo isiyokua ya lazima. Viva Tanzania, Magufuli hoyeeeeeeee
A voice from the Patriot man
 
KQ kwenye game kitambo na walidominate soko walifanikiwa kulipia full ndege 3 out of 20. Kazi kweli kweli . Halafu uhuru kwa nini angekuja mwenye wakifanya meeting na mkuu mambo yanaisha maana watu wengi hapo wanakosa ajira kwa KQ kutokuja tz . Sipati picha wafanyakazi na masupplier wa KQ wanavyo hussle
 
KQ kwenye game kitambo na walidominate soko walifanikiwa kulipia full ndege 3 out of 20. Kazi kweli kweli . Halafu uhuru kwa nini angekuja mwenye wakifanya meeting na mkuu mambo yanaisha maana watu wengi hapo wanakosa ajira kwa KQ kutokuja tz . Sipati picha wafanyakazi na masupplier wa KQ wanavyo hussle
tena ndege hzo tatu ni chakavu hazina mfano😀😁😁 miaka 50 wapo kwenye soko
 
Screenshot_20200830-192337.png

Hii ni bajeti ya 2020/2021
Kulingana na vipengele viwili vya kwanza hapo juu.
- kuanza ujenzi mak - tbr - isaka - mza
- kutafuta mkandarasi mak - tbr - isaka - mza.

Maoni yangu.
Kama ukusanyaji wa mapato haujaathirika naona kama makutupora mpaka isaka tenda ikitangazwa mwaka huu wa fedha.
 
Back
Top Bottom