komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Yani picha ina make-up lkn bado kumeparara
Yani picha ina make-up lkn bado kumeparara
Hapo ke uchumi umenikoroga kiasi, manake siku hizi watu wanamiliki simu za bei na uchumi wake unayumbaBro nonsense ila ushanielewa kuwa Chinese Products are cheap na hiyo alama ya 4G kwa ukubwa huo unamiliki Simu copy ukweli unachoma siijui Simu yako Ila hizi details Ni 90% sureSimu tu inaweza determine Uchumi wako Bwana wanjala
View attachment 1546094
Heheee!!Ss huku kwetu hayo mambo tunawaachia wanafunzi cc watu wazima tunalipa kwa ajili ya bundle.
Heheee!!kw kujichokonoa mko vizuri..khaa!!Alafu kuna kitu nime notice ukikutana na mTz anajua English basi pronunciation huwa tamu sn tofauti na waafrika wengi.


mkuu hapo hata toto likitoka ni dume la mbegu.....nimetoka kucheck mpira na wana... narud home shem ako kaniandalia hii kitu.. usije ukanitumia picha ya ugali tembele
View attachment 1546350



daah mkuu bora ungemtext inbox kuna mademu wakikenya humu vicheche hatari wataisumbua hiyo namba+255 754 849 970



Umeteseka kweli poleYani picha ina make-up lkn bado kumeparara
Komora wew ngeli hujuw kaa kimyaEnglish accent ya kagera au ipi jamani![]()
Aisee shukran sana mkuu![]()
Ila nimempigia naona simu inaita tu bila kupokelewa mkuu.Pamoja kiongozi
Ila nimempigia naona simu inaita tu bila kupokelewa mkuu.
Jana alitoa boko dom huko,inawezekana ikawa simu ni nyingi 😀,mjaribu kimtxt
sideways zao hizo
.. si za dereva si za raia
Mimi huwa ninacheza namba za pembeni, hao wengine wote wanacheza katika ya uwanja, hapo beki ya kati ni Geza Ulole, malizia kuwapa namba hao uliowataja, mimi yangu ni 11Nimejoin hii thread tokea inaanza ila Kuna mafighter Sana humu nawakubali wanazidi kuwanyoosha vijana wa Kenyatta salute kwenu ichoboy,Ndida,Tuusan,Lusematic,mkorintho,Joto la jiwe,Geza ulole,Simon,walker 255,the best 007,toptorn kina Anael,Kadoda sijuwi wapo wapi asee, na woote ambao (Id) zenu zijazishika Fresh huu ndio uzalendo, bampa tu bampa mpaka tuhakikishe kila Kona wanacheuwa tu'.. sahivi Kenya wanaleta mipasho tu
(Natoa Ofa kwa Mkenya ila awe mdada December hii Kama hatokuwa lockdown aje bongo nitamlipia kila kitu atakaa Jijini Dar-es-salaam,Jiji lenye hadhi yake ukitua tu lazima ung'ae hata Kama huna hell,pia na kwenda matembezi baadhi ya Maeneo ya Jiji kwa pesa yangu Kama upo tiare uje inbox tuyajenge ila hakikisha unarangi ya mtume)
***
Ila wabongo wenzangu huwa natamani ningekuwa na mda wa kurelax niwe camera man TU,Kuna angle nyingine nazionaga afu dar Sina camera unajua haya mafeelings ila itanibidi ninunue kamera hii ndio Kama gobore kwenye hii battle
Mapambano yaendelee


