The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Mkuu mbn haionekani vizuri hebu i screen shot tena uitupie humu tumchore huyo jamaa.
Mkuu mbn haionekani vizuri hebu i screen shot tena uitupie humu tumchore huyo jamaa.
utaficha mlima ila sio hisia


.Yaani hapa ndege ya mizigo ndo haijafika,sipigi picha ikianza kusafirisha minofu ya samaki moja kwa moja.
Why Tanzania’s fish exports have risen 82pc in four years


Hela za Bwawa zinaridishwa kimya kimya...JPM alisema lkn.
Mkuu tumia browser lakini hata kwa app mbona inaonekana vizuri.Mkuu mbn haionekani vizuri hebu i screen shot tena uitupie humu tumchore huyo jamaa.
Poa ngj nicheki kwa browser mkuuMkuu tumia browser lakini hata kwa app mbona inaonekana vizuri.


now nimeisoma mkuu unajua kitu kinaitwa muda ndipo alipojificha God ukifika hakuna wa kuuzuia, kuna dalili utaanza kuziona but unakuwa huna jinc, zamani ilizoeleka WaTz ndiyo tuliokuwa tunalalamika kwmb serikali inatuzingua ndomana kenya imetupita, wkt huo huo Wakenya wakawa wanatutukana kwa kutuita kila majina, now mambo yame change tunaenda kuwapiga bao km la tembo bonge la toto kudadadeki lkn watz wametulia tu hakuna maneno maneno wala nn wanasubilia watu wazae tu😀😀😀
Zile zile hatua tatunow nimeisoma mkuu unajua kitu kinaitwa muda ndipo alipojificha God ukifika hakuna wa kuuzuia, kuna dalili utaanza kuziona but unakuwa huna jinc, zamani ilizoeleka WaTz ndiyo tuliokuwa tunalalamika kwmb serikali inatuzingua ndomana kenya imetupita, wkt huo huo Wakenya wakawa wanatutukana kwa kutuita kila majina, now mambo yame change tunaenda kuwapiga bao km la tembo bonge la toto kudadadeki lkn watz wametulia tu hakuna maneno maneno wala nn wanasubilia watu wazae tu![]()



Kuna Wakenya wapo humu wakiongozwa na mwenyekiti wao Edward wanjala wameanza kuwa na inferiority complex over usZile hatua tatu![]()



D-N-A ila nowadays wameanza kuwa na adabu sn wamebaki Wakenya wa humu tu ndo wanajifanya wamandavako😀😀😀😀Zile zile hatua tatu![]()
Wanaweweseka mnooKuna Wakenya wapo humu wakiongozwa na mwenyekiti wao Edward wanjala wameanza kuwa na inferiority complex over us![]()



Hawa wa humu bado wapo denial stageD-N-A ila nowadays wameanza kuwa na adabu sn wamebaki Wakenya wa humu tu ndo wanajifanya wamandavako![]()



Hawa wa humu wanajifanya wajeuri but taratibu wameanza kukubali kmy kmy, huyo wanjala mwishowe ameanza kushindana kuhusu kunywa kahawa nimecheka sn 😀😀😀😀😀Kuna Wakenya wapo humu wakiongozwa na mwenyekiti wao Edward wanjala wameanza kuwa na inferiority complex over us![]()
Niliiona hiyo jombaaHawa wa humu wanajifanya wajeuri but taratibu wameanza kukubali kmy kmy, huyo wanjala mwishowe ameanza kushindana kuhusu kunywa kahawa nimecheka sn![]()


