Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unilever wanapanda chai!!! Lakini kuna mashule huku Tanzania!?
Hizi ndizo shule zetu.
Screenshot_20200823-194600_Samsung%20Internet.jpg
 
Bro nonsense ila ushanielewa kuwa Chinese Products are cheap na hiyo alama ya 4G kwa ukubwa huo unamiliki Simu copy ukweli unachoma siijui Simu yako Ila hizi details Ni 90% sure Simu tu inaweza determine Uchumi wako Bwana wanjala

View attachment 1546094
zile simu ambazo hata ukizima data ina hilo 4G,halitoki hapo.

nikataka maelezo labda ni vertue smartphone version imetoka, maana kaniambia siwezi afford.
 
Umesoma ulichokipost!? "Subsidiary" could be the same saccos I was talking about who teamed up with Unilever.
Acha kuyumbisha mambo,kichwa habari na aya ya pili inajieleza vyema...hamna mambo ya sacco hapo.

Hivo vipicha imetuma hapo ni upgrade ya servant cottas ambazo baada ya owner kulalamikiwa sana wame upgrade.
 
Back
Top Bottom