Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unilever wanapanda chai!!! Lakini kuna mashule huku Tanzania!?
Hizi ndizo shule zetu.
Screenshot_20200823-194600_Samsung%20Internet.jpg
 
Bro nonsense ila ushanielewa kuwa Chinese Products are cheap na hiyo alama ya 4G kwa ukubwa huo unamiliki Simu copy ukweli unachoma siijui Simu yako Ila hizi details Ni 90% sure [emoji23][emoji23] Simu tu inaweza determine Uchumi wako Bwana wanjala[emoji1787][emoji1787]

View attachment 1546094
[emoji38] [emoji38] zile simu ambazo hata ukizima data ina hilo 4G,halitoki hapo.

nikataka maelezo labda ni vertue smartphone version imetoka, maana kaniambia siwezi afford.
 
Bro nonsense ila ushanielewa kuwa Chinese Products are cheap na hiyo alama ya 4G kwa ukubwa huo unamiliki Simu copy ukweli unachoma siijui Simu yako Ila hizi details Ni 90% sure [emoji23][emoji23] Simu tu inaweza determine Uchumi wako Bwana wanjala[emoji1787][emoji1787]

View attachment 1546094
Msameheni bure jamani mwalimu huyu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Azam FC haipewi heshima yake... au kwa vile mmiliki wake ni tajir tayar! au hawafanyi vizur kimataifa!
View attachment 1546120

on other side, kenya kuna club inamiliki uwanja kama huu?[emoji23][emoji23]
Bro ucsahau kwmb huo ni uwanja wa mpira wa miguu na co uwanja wa michezo, Kenya haiwez afford [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umesoma ulichokipost!? "Subsidiary" could be the same saccos I was talking about who teamed up with Unilever.
Acha kuyumbisha mambo,kichwa habari na aya ya pili inajieleza vyema...hamna mambo ya sacco hapo.

Hivo vipicha imetuma hapo ni upgrade ya servant cottas ambazo baada ya owner kulalamikiwa sana wame upgrade.
 
Back
Top Bottom