Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

@mydaresalaam on IG
EB6EED4C-BB38-4A88-8AEF-3D80B7406E3B.jpeg
 
ushauri wa bure warudishe ndege zote ambazo wame lease wabaki na zile ndege zao 3 chakavu wanazomiliki waanze maisha upya ila kufukuza wafanyakazi haitasaidia kwani hawafkii hata ukucha wa pesa zinazolipwa kwa wenye ndege zao 👇👇👇👇👇😂😂😂

 
Nimejoin hii thread tokea inaanza ila Kuna mafighter Sana humu nawakubali wanazidi kuwanyoosha vijana wa Kenyatta salute kwenu ichoboy,Ndida,Tuusan,Lusematic,mkorintho,Joto la jiwe,Geza ulole,Simon,walker 255,the best 007,toptorn kina Anael,Kadoda sijuwi wapo wapi asee, na woote ambao (Id) zenu zijazishika Fresh huu ndio uzalendo, bampa tu bampa mpaka tuhakikishe kila Kona wanacheuwa tu'.. sahivi Kenya wanaleta mipasho tu...
(Natoa Ofa kwa Mkenya ila awe mdada December hii Kama hatokuwa lockdown aje bongo nitamlipia kila kitu atakaa Jijini Dar-es-salaam,Jiji lenye hadhi yake ukitua tu lazima ung'ae hata Kama huna hell,pia na kwenda matembezi baadhi ya Maeneo ya Jiji kwa pesa yangu Kama upo tiare uje inbox tuyajenge ila hakikisha unarangi ya mtume)
***
Ila wabongo wenzangu huwa natamani ningekuwa na mda wa kurelax niwe camera man TU,Kuna angle nyingine nazionaga afu dar Sina camera unajua haya mafeelings ila itanibidi ninunue kamera hii ndio Kama gobore kwenye hii battle
...Mapambano yaendelee
awe na rangi ya mtume
 
Back
Top Bottom