ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Haya
wazee wa GDP kamasi za matakoni zinatoka sasa 😂😂😂😂
Haya
Nimecheka sn aiseeCan you imagine mkicheza pillow fight na mpenzi wako humo![]()




Utamaduni wetu ni wa kipekee saana,tumetamka MUNGU ibariki Tanzania mara nyungi,nae ameamua kutubariki kweli kweli.Wakenya mnapaswa kujifunza kutoka kwetu kwa mambo mengi sana
Kenyans must learn from Tanzanians’ football love – Ex-Gor Mahia’s Bolo | Goal.comView attachment 1546575
hako kawimbo Mungu huwa anakasikiliza am sure.Utamaduni wetu ni wa kipekee saana,tumetamka MUNGU ibariki Tanzania mara nyungi,nae ameamua kutubariki kweli kweli.
Michezo tumepiga hatua ya kipekee kuliko,tuna muziki wa Bongo Fleva wenye kufatiliwa na kisikizwa mara zaiidi ya bilion moja,Ushabiki wa mpira ni wa kusisimua saana umetawaliwa na upendo,hamasa na hari kubwa.,tunayo Bongo movie...etc.