Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ya Ghana ni noma aise!
2490768_20200818_203416.jpg
 
Hapa huwa najiuliza mbn hii reli nyingine haina nguzo so itakuwaje hapo kwa treni bila kuwa connected na waya? Wajuzi mnisaidie Geza Ulole Simon
Mkuu train inayo kuja ina uwezo wa kutembea kwa zaidi ya saa moja hata umeme unapomakatika maana kwamba ina mfumo wa power storage yake binafusi inayo iwezesha ikalibiapo station kuacha njia yenye nguzo na kuanza kutumia umeme wake kwenye storage na inapo toka station ina rejea tena kwenye njia yenye nguzo za umeme.
 
Back
Top Bottom