Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Wajaluo na Wahaya wanatoka sehemu moja?Huyo ni mjaluo na hana tofauti na wa hayaa[emoji23][emoji23]
Wajaluo na Wahaya wanatoka sehemu moja?Huyo ni mjaluo na hana tofauti na wa hayaa[emoji23][emoji23]
Kama wewe ambaye uliishia nje ya Geti la shule kuwasindikiza wenzako?Huyo hata shule hajafika..
Kwani kila alienda shule anajua English huko Kenya? Tena huyo anawakilisha 95% ya wakenya sababu BBC wenyewe wanasema English speakers huko hawazidi million 3Huyo hata shule hajafika..
Hehehe!!unajiumiza bure tu, huyo mama hajasoma..ni kingereza tu ana force, wajaluo bana[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kila alienda shule anajua English huko Kenya? Tena huyo anawakilisha 95% ya wakenya sababu BBC wenyewe wanasema English speakers huko hawazidi million 3
Bwahaha!!kabisaKama wewe ambaye uliishia nje ya Geti la shule kuwasindikiza wenzako?
Ni mda mrefu pako hvyo con hata pillar moja kuinuka why?Those who were thinking this thing will not happen wajionee. Sasa wake na longolongo. The first most expensive ppp investment in Africa.
The Nairobi Express way
View attachment 1541980
Magu akijibu hyo tunampa nyundo ingine ya nairobi nakuru, akijaribu tunammalizia ya mombasa nairobi..Ni mda mrefu pako hvyo con hata pillar moja kuinuka why?
Vipi mmeshalipa brt?Magu akijibu hyo tunampa nyundo ingine ya nairobi nakuru, akijaribu tunammalizia ya mombasa nairobi..
Hapana cheza na nyangau wewe, wanasiasa wanaiba kidogo wakiona kuna kannchi kameanza kuleta zarau wanapigilia msumari
duuh hiyo mikwaju aisee ni kisanga....[emoji23][emoji23]waziri analeta joke kuhusu viatu na bosi wake ‘rais’
Kuna tofauti ya kutamka maneno na kushindwa kutamka herufi..sasa unasemaje mnakijua kiswahili kukitamka kama mnaelewana wazee wa slums pekee yenu!!!!
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
Wanatabia sawa tu[emoji23][emoji23]Wajaluo na Wahaya wanatoka sehemu moja?
nimeikuuliza uliyeandika"MUKUJE"ukialika wenzako umepatia nini katika kiswahili???Kuna tofauti ya kutamka maneno na kushindwa kutamka herufi..
Tatizo mnajitia kujua kila kitu wakati wabongo mna matatizo lukuki likija swala la uongeaji wa kiswahili..
Tena tuache mikoani, hapo hapo dar tu ukikutana nao utacheka hadi upaliliwe
mhhhh mjaruo linganisha na mkurya sio mhaya.Wanatabia sawa tu[emoji23][emoji23]