Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NDINDA naomba nitumie zile picha kuhusu mambo ya currency (comparison)

wakenya wengi huwa wanasema wana currency kubwa kuliko yetu...
kuna picha flan mbili ulituma inaonyesha currency ya kenya ni kubwa kuliko hio nyingine ila nchi ni tajir kuliko kenya

hawa wapuuzi wanasahau kuna kitu kinaitwa currency na kitu kingine purchasing power of currency
 
2nd Big meat exporting facility..in 2 years..if we have them like 5 big kama hii na tan choice na kuongeza leather proccessing itakuwa vizuri kw forex yetu
Mbona hayo yanafanyika kuna viwanda viwili vikubwa vya ngozi Moshi na Dodoma ukiachia kile cha Mwanza pia DIT Mwanza wameanza kufundisha ujuzi wa uchakati wa ngozi!
 
NDINDA naomba nitumie zile picha kuhusu mambo ya currency (comparison)

wakenya wengi huwa wanasema wana currency kubwa kuliko yetu...
kuna picha flan mbili ulituma inaonyesha currency ya kenya ni kubwa kuliko hio nyingine ila nchi ni tajir kuliko kenya

hawa wapuuzi wanasahau kuna kitu kinaitwa currency na kitu kingine purchasing power of currency

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

IMG_1139.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1542668
Wanashindwa kuelewa kuwa,currency value has nothing to do with economic strength,mfano nilimuuliza mkenya mmoja kwamba,Kati UK sterling pound na US dollar,ni ipi yenye nguvu,na nchi ipi yenye nguvu kubwa kiuchumi hapa dunia,akapotea mazima.
 
Back
Top Bottom