Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,426
Small water drain that takes run off water to large drains. This sidewalks has tree lines reason for those dry leaves. So what did you see!?Pwahahaha
View attachment 1536805
Small water drain that takes run off water to large drains. This sidewalks has tree lines reason for those dry leaves. So what did you see!?Pwahahaha
View attachment 1536805
Wakenya wengi hawaijui Tanzania, ukifika Nairobi bidhaa kama White dent, Konyagi, Azam drinks, Mo energy drinks, na Bia katika mikoa ya mipakani, Wines, na bidhaa za majumbani toka Tanzania zimezagaa kila kona.hatuna viwanda ??? mm nafkiri ww huijui tanzania vzr
HahahahaSomeone here used to be stubborn about this road. Eti sidewalks side moja. Anaambiwa road bado under construction hasikii. Ndiyo hiyo sidewalks zaendelea kuwekwa.
View attachment 1536806
View attachment 1536804
Hayo ni mavi from flying toiletSmall water drain that takes run off water to large drains. This sidewalks has tree lines reason for those dry leaves. So what did you see!?
Wakenya wengi humu wana low IQ.Tony254, achana na huu mjadala, unakudhalilisha, tunaanza kukuweka katika kundi la wakenya wengi wasio na akili, inaonyesha ni kiasi gani wakenya msivyojua mambo
Eeee...si ngombe dunia nzima wanapatikana tanzanania tuNinyi endeleeni kubugizwa takataka za pumba zenye ladha ya maziwa na uhuru mkijidanganya mnakunywa organic milk, kumbe mnakunywa maharage ya soya.
Tuonyeshe office za mabasi na waiting lounge pia..mjipange Tz ndiyo best hub ya usafiri kwa EAC na katiView attachment 1536256View attachment 1536259
Hahaha!!hku kila mtu kajipanga na huduma zake mwnywe..mjipange Tz ndiyo best hub ya usafiri kwa EAC na katiView attachment 1536256View attachment 1536259
Watu wanafanya booking online wewe unatuonesha vibanda vyenu.Hahaha!!hku kila mtu kajipanga na huduma zake mwnywe..
View attachment 1536869View attachment 1536870View attachment 1536871
ENA CoachHahaha!!hku kila mtu kajipanga na huduma zake mwnywe..
View attachment 1536869View attachment 1536870View attachment 1536871
Mkenya wa kawaida hajui lolote kuhusu Tanzania.Shule ulikwenda kucheza mpira na kunywa maziwa ya mzee Moi tu, hata Geography hujui, Arusha na TAZARA wapi na wapi?. Hiyo reli ya Arusha ilijengwa na Wajerumani.
Zaidi ya hii reli yenu ya wachina, hamna reli inayofanya kazi huko Kenya, RVR ilishajifia muda mrefu, nini bibi kikongwe, inajikongoja, wajanja wanaitumia kwa kuiba pesa tu.
Rvr pia inafanya kazi. Hata laini kutoka Nairobi hadi Nanyuki imeanza kufanya kazi juzi. Kama unapinga sema nikupe evidenceShule ulikwenda kucheza mpira na kunywa maziwa ya mzee Moi tu, hata Geography hujui, Arusha na TAZARA wapi na wapi?. Hiyo reli ya Arusha ilijengwa na Wajerumani.
Zaidi ya hii reli yenu ya wachina, hamna reli inayofanya kazi huko Kenya, RVR ilishajifia muda mrefu, nini bibi kikongwe, inajikongoja, wajanja wanaitumia kwa kuiba pesa tu.
Tihihiiiii!!!mbna umeumia hvo
Hzo shuttle si level yakounafikiria hku ni tz kila kitu mnangoja serekali iwafanyie
Pwahahahaha!!!Hzo shuttle si level yakounafikiria hku ni tz kila kitu mnangoja serekali iwafanyieView attachment 1536909View attachment 1536910View attachment 1536911