Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi as administrative location is smaller than Dar. However, Nairobi Metropolis has the largest metropolitan area in Sub Saharan Africa. Which is about ten times bigger than Dar.
Sometimes people use Nairobi administrative area to compare with other cities. However if the Metropolitan area is used, Nairobi can only be rivaled by Jorhansburg in SA
From Kijabe to Kajiado is Over 200 Km
Screenshot_20200814-094424.png

Pic sample of this stretch
Screenshot_20200813-230303.png

Screenshot_20200813-230223.png
Screenshot_20200813-230014.png

from Thika to Kiserian. Is about
70KM
Screenshot_20200814-094211.png

Some shots on the stretch
Screenshot_20200813-220005.png
Screenshot_20200813-220723.png
 
Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?
hii ni awamu ya tano na awamu hii sio awamu kama zilizopita my friend nyinyi wenyewe simumeona kwenye madini palivo pamoto na huku ni pamoto zaidi sasa😂😂 na kwa taarifa fupi tu nikupe kua reli ya MGR inaganya kazi sehemu zifuatazo

dar mwanza
dar kigoma
dar tanga moshi arusha
dar mpanda via tabora


nakushangaa sana bro😂😂😂
 
Nairobi as administrative location is smaller than Dar. However, Nairobi Metropolis has the largest metropolitan area in Sub Saharan Africa. Which is about ten times bigger than Dar.
Sometimes people use Nairobi administrative area to compare with other cities. However if the Metropolitan area is used, Nairobi can only be rivaled by Jorhansburg in SA
From Kijabe to Kajiado is Over 200 Km
View attachment 1536768
Pic sample of this stretch
View attachment 1536769
View attachment 1536770View attachment 1536771
from Thika to Kiserian. Is about
70KM
View attachment 1536772
Some shots on the stretch
View attachment 1536773View attachment 1536777
hapo umeingia kwenye county zingine sasa 😂😂😂 naona thika etc yani nairobi ilivo ndogo umeona uingie na county zingine sasa
 
Basi mna reli Mgr kilomita nyingi kutushinda. Lakini nashuku ruti zingine hazifanyi kazi kwa uzembe wenu wa kutorekebisha reli inapoharibika.
Yani wewe jamaa ujinga utakuua.
Kipande kilichozinduliwa ni Moshi - Arusha.
Network ya Railway Tanzania ni kubwa mno.
Bado ile ya mtwara to Mbamba bay.
images - 2020-08-14T105141.277.jpeg
 
Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?
Acha unyang'au reli hii imekuepo tangu 1927 na ni ile ambayo mlikuwa na tawi kupitia voi mpaka mombasa...chunguza na uache unyang'au.
 
Back
Top Bottom