Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Hiyo si TAZARA. Ni reli ya kutoka Mtwara hadi Mbamba bay huko Ruvuma.Kulingana na hio map fake iliyowekwa na Venus Star
Hiyo si TAZARA. Ni reli ya kutoka Mtwara hadi Mbamba bay huko Ruvuma.Kulingana na hio map fake iliyowekwa na Venus Star
We jamaa hiyo ni Mtwara mbamba bay siyo rail ya TAZARA. Acha ujinga.Kulingana na hio map fake iliyowekwa na Venus Star
Jifunze Jiografia. TAZARANa hio Tazara iko karibu sana na Mozambique, mbona Mozambique hawajaunga reli yao kwa Tazara?
Sawa. Hio reli yote haiwasaidii kwa sababu bado mpo nyuma yetu. Mnasoma number tu.We jamaa hiyo ni Mtwara mbamba bay siyo rail ya TAZARA. Acha ujinga.
Unahamisha hamisha magoli.Nyie watu mna reli kilomita nyingi kushinda nchi yoyote Afrika Masharika lakini hamna viwanda hata kidogo. Uzembe uliotukuka.
Shule ulikwenda kucheza mpira na kunywa maziwa ya mzee Moi tu, hata Geography hujui, Arusha na TAZARA wapi na wapi?. Hiyo reli ya Arusha ilijengwa na Wajerumani.Nyie ni wajinga na wazembe sana. Eti hii reli matumizi yake yalisitishwa miaka 30 zilizopita, yaani mwaka wa 1990. Reli ambayo wachina waliwapa 1975 ikiwa mpya lakini baada ya miaka 15 mkawa mumeiharibu kabisa hadi ikafungwa. Waafrika wa aina hii hawawezi kulinda miundo mbinu. Kazi yao ni kuharibu tu. Mafala sana nyie. Sisi reli yetu ambayo ina zaidi ya miaka 118 bado inafanya kazi. Huku pia tuna reli mpya na itakaa kwa miaka mia moja zijazo. Wacheni kuharibu vitu kwa sababu hamutaki kurepair reli au treni zilizoharibika. Mnataka wachina wawafanyie kila kitu?
Wacha kujiaibisha wewe, nani amekuambia Tazara ipo karibu na Msumbiji?,Mbona Ethiopia haijaunga na reli yenu ya zamani RVR badala yake wamejenga reli mpya hadi bandari ya Djibouti?Na hio Tazara iko karibu sana na Mozambique, mbona Mozambique hawajaunga reli yao kwa Tazara?
Tony254, achana na huu mjadala, unakudhalilisha, tunaanza kukuweka katika kundi la wakenya wengi wasio na akili, inaonyesha ni kiasi gani wakenya msivyojua mamboLini reli yetu iliungana na yenu?
Masikini wa kutupwa ni yule asiyeweza kumudu kujilisha kufikia hatua ya watu wake kufaa kwa njaa na kutegemea chakula cha msaadaNa bado mbona nyie masikini wa kutupwa? Bado hamna viwanda licha ya kuwa na reli kilomita nyingi tu. Uzembe.
Ila hatuna njaa wala slumsNyie watu mna reli kilomita nyingi kushinda nchi yoyote Afrika Masharika lakini hamna viwanda hata kidogo. Uzembe uliotukuka.
hatuna viwanda ??? mm nafkiri ww huijui tanzania vzr 😂😂😂Nyie watu mna reli kilomita nyingi kushinda nchi yoyote Afrika Masharika lakini hamna viwanda hata kidogo. Uzembe uliotukuka.
site for white elephant 😂😂😂Upperhill roads Nairobi. Site for pinnacle pembeni
View attachment 1536803