asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,015
Ukweli.Mkenya wa kawaida hajui lolote kuhusu Tanzania.
It's evident 👇
Ukweli.Mkenya wa kawaida hajui lolote kuhusu Tanzania.
Wanataka tujue mambo kuhusu nchi yao na sisi hatuna haja ya kujua.
Pwahahahaha!!!Wanataka tujue mambo kuhusu nchi yao na sisi hatuna haja ya kujua.
PwahahahahaWanataka tujue mambo kuhusu nchi yao na sisi hatuna haja ya kujua.
Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.
You got this screenshot from Reddit. Anyone can form a map like that and upload it on the internet. I want you to give us an official source of this information you are trying to claim is true.
Knowing stuff about other countries just shows how globally oriented people of a certain country are. However, I can assure you that Kenya is the last country that Tanzanians would care to know things about. Kenyans on the other hand, pay so much attention when it comes to news about Tanzania. From our music, politics, pop gossip........you name it.Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.
Music is an international language.
Nyinyi kila kitu Kenya mnatambua. Iwe MEDIA, POLITICS/POLITICIANS, ECONOMICS, SOCIAL LIFE yaani vitu vingi tuu. MKenya wa kawaida akiulizwa kuhusu TZ labda Magufuli tuu. 😹
Hahaha!!hku kila mtu kajipanga na huduma zake mwnywe..
View attachment 1536869View attachment 1536870View attachment 1536871



nikuache tu toa uchafu huo....





duuuh ena ime ena ena kweli kweli
Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.
Music is an international language.
Nyinyi kila kitu Kenya mnatambua. Iwe MEDIA, POLITICS/POLITICIANS, ECONOMICS, SOCIAL LIFE yaani vitu vingi tuu. MKenya wa kawaida akiulizwa kuhusu TZ labda Magufuli tuu.![]()




kumbe wewe si mkenya wa kawaida.....!!!!Wanataka tujue mambo kuhusu nchi yao na sisi hatuna haja ya kujua.
Shule mnafundishwa ukabila na rushwa pekeeMkenya wa kawaida hajui lolote kuhusu Tanzania.
Imeanza kufanya kazi juzi baada ya kufa kwa miaka mingi ndio juzi KDF kuifufua sio?, sasa unashangaa nini uliposikia reli ya Arusha imefufuliwa baada ya kuacha kufanya kazi kwa muda mrefu?Rvr pia inafanya kazi. Hata laini kutoka Nairobi hadi Nanyuki imeanza kufanya kazi juzi. Kama unapinga sema nikupe evidence
Kwanini wanamuziki wa Kenya hawajulikani?Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.
Music is an international language.
Nyinyi kila kitu Kenya mnatambua. Iwe MEDIA, POLITICS/POLITICIANS, ECONOMICS, SOCIAL LIFE yaani vitu vingi tuu. MKenya wa kawaida akiulizwa kuhusu TZ labda Magufuli tuu.![]()
Uswazi all over,,haahahaIko wapi Industrial area ya Moshi!? Au Mwanza au Dar !?