Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkenya wa kawaida hajui lolote kuhusu Tanzania.
Ukweli.

It's evident 👇
IMG_20200812_203059.jpg
 
Pwahahahaha!!!
Hebu tuanze na hii
Sisi Tanzania hatuwajui wanamziki wenu.
View attachment 1536922
Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.

Music is an international language.

Nyinyi kila kitu Kenya mnatambua. Iwe MEDIA, POLITICS/POLITICIANS, ECONOMICS, SOCIAL LIFE yaani vitu vingi tuu. MKenya wa kawaida akiulizwa kuhusu TZ labda Magufuli tuu. 😹
 
Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.

Music is an international language.

Nyinyi kila kitu Kenya mnatambua. Iwe MEDIA, POLITICS/POLITICIANS, ECONOMICS, SOCIAL LIFE yaani vitu vingi tuu. MKenya wa kawaida akiulizwa kuhusu TZ labda Magufuli tuu. 😹
Knowing stuff about other countries just shows how globally oriented people of a certain country are. However, I can assure you that Kenya is the last country that Tanzanians would care to know things about. Kenyans on the other hand, pay so much attention when it comes to news about Tanzania. From our music, politics, pop gossip........you name it.
 
Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.

Music is an international language.

Nyinyi kila kitu Kenya mnatambua. Iwe MEDIA, POLITICS/POLITICIANS, ECONOMICS, SOCIAL LIFE yaani vitu vingi tuu. MKenya wa kawaida akiulizwa kuhusu TZ labda Magufuli tuu.
kumbe wewe si mkenya wa kawaida.....!!!!
hebu tueleze wewe nj mkenya wa aina gani..?
 
Rvr pia inafanya kazi. Hata laini kutoka Nairobi hadi Nanyuki imeanza kufanya kazi juzi. Kama unapinga sema nikupe evidence
Imeanza kufanya kazi juzi baada ya kufa kwa miaka mingi ndio juzi KDF kuifufua sio?, sasa unashangaa nini uliposikia reli ya Arusha imefufuliwa baada ya kuacha kufanya kazi kwa muda mrefu?
 
Hahaha huu ni UJINGA. Ni kama kusema Michael Jackson hakufaa kujulikana/kutambulika nje ya Marekani. Hahaha very SIMPLISTIC thinking.

Music is an international language.

Nyinyi kila kitu Kenya mnatambua. Iwe MEDIA, POLITICS/POLITICIANS, ECONOMICS, SOCIAL LIFE yaani vitu vingi tuu. MKenya wa kawaida akiulizwa kuhusu TZ labda Magufuli tuu.
Kwanini wanamuziki wa Kenya hawajulikani?
 
Lhttps://www.facebook.com/261061365404/posts/10164301296335405/?app=fbl






Uchumi wa Kenya ni mkubwa kuliko nchi zote barani GDP $500 billion
 
Back
Top Bottom