komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hzo ni assumptions tu, lkn kw ground hyo idadi haifikiKuna jamaa amenibishia humu kwamba,Kenya meat commission ndio kubwa,baada ya kumdhibitishia,amepotea, yaani,Athi river na Mombasa plants,Inachinja na kuchakata ngo'ombe,mbuzi na kondoo 3,250 tu kwa siku,wakati yetu ya TZ ni 5,500 kwa siku kwa aina ya mifugo yote!

