Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_5139.jpg
 

Huu mji sasa utahama ku serve purpose ya kuwa mji mkuu wa nchi na kuanza tena kuwa mji wa kiuchumi maana viwanda vinajengwa,ma warehouse,dry ports nk sasa yatajirudia yaleyale ya Dar ,but kwa sie wafanyabiashara wanatufungulia fursa zaidi za kuuza hasa huku mikoa ya mipakani
Nilitarajia ungekuwa mji wa kiserikali,conference tourism,education and tech na mambo ya service industry zaidi lakini naona kutakua hakuna tofauti sasa na miji mingine mikubwa ya nchi,labda huu utakua tu well planned and organised huko kwingine ni bid slums ikiongozwa na Dar
 
Huu mji sasa utahama ku serve purpose ya kuwa mji mkuu wa nchi na kuanza tena kuwa mji wa kiuchumi maana viwanda vinajengwa,ma warehouse,dry ports nk sasa yatajirudia yaleyale ya Dar ,but kwa sie wafanyabiashara wanatufungulia fursa zaidi za kuuza hasa huku mikoa ya mipakani
Nilitarajia ungekuwa mji wa kiserikali,conference tourism,education and tech na mambo ya service industry zaidi lakini naona kutakua hakuna tofauti sasa na miji mingine mikubwa ya nchi,labda huu utakua tu well planned and organised huko kwingine ni bid slums ikiongozwa na Dar
so ukiwa mji wa serekali manake viwanda havitakiwi kuwepo au?? au beijing kule hakuna viwanda sijui wapi hua unakwama wewe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huu mji sasa utahama ku serve purpose ya kuwa mji mkuu wa nchi na kuanza tena kuwa mji wa kiuchumi maana viwanda vinajengwa,ma warehouse,dry ports nk sasa yatajirudia yaleyale ya Dar ,but kwa sie wafanyabiashara wanatufungulia fursa zaidi za kuuza hasa huku mikoa ya mipakani
Nilitarajia ungekuwa mji wa kiserikali,conference tourism,education and tech na mambo ya service industry zaidi lakini naona kutakua hakuna tofauti sasa na miji mingine mikubwa ya nchi,labda huu utakua tu well planned and organised huko kwingine ni bid slums ikiongozwa na Dar
Huna akili kabisa wewe.
 
Tafadhali tuombe radhi, Kenya hakuna SGR, kuna "Chinese old and diesel train"
Sgr ni upana wa reli na sio train. Wewe ni mshamba sana. Kuna Sgr ya diesel na kuna Sgr electric lakini zote ni sgr. Kama hujui Sgr ina maana gani sema uelezewe.
 
Back
Top Bottom