Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Wanaelew ila wanajitoa ufaham tyu
Wanaelew ila wanajitoa ufaham tyu
Miaka mingapi mnajengaga hicho kiwanda? afu hiyo ni kazi ya sekta binafsi sio sekta ya umma au mashirika na taasisi zake,hicho nacho kitajifia kama bora and the likes vilivyokuwa vya umma..Huu ni muendelezo wa matumizi mabaya ya rasilimaliVipaumbele vya JPM na Kikwete ni tofauti Sana, JPM amepeleka pesa za uwekezaji katika viwanda badala ya kujenga majumba marefu ambayo mchango wake katika kutoa ajira ni mdogo Sana, jaribu kufikiria jinsi kiwanda cha ngozi cha gereza la Karanga Moshi kitakavyotengeneza ajira kwa na ulinganishe na jengo la mzizima.
Ndio sababu kila mtu ana akili zake, Magufuli ameonelea kufufua viwanda vyote vilivyoanzishwa na Nyerere na vile vilivyobinafsishwa lakini havikufanya vizuri vikiwa mikononi mwa sector binafsi kama TRC naeTTCL ili kutengeneza ajira na kuongeza ufanisi.Miaka mingapi mnajengaga hicho kiwanda? afu hiyo ni kazi ya sekta binafsi sio sekta ya umma au mashirika na taasisi zake,hicho nacho kitajifia kama bora and the likes vilivyokuwa vya umma..Huu ni muendelezo wa matumizi mabaya ya rasilimali
Ila huyu zwazwa hana haki ya kupingaNdio sababu kila mtu ana akili zake, Magufuli ameonelea kufufua viwanda vyote vilivyoanzishwa na Nyerere na vile vilivyobinafsishwa lakini havikufanya vizuri vikiwa mikononi mwa sector binafsi kama TRC naeTTCL ili kutengeneza ajira na kuongeza ufanisi.
Wewe mtazamo wako ni tofauti na yeye, una haki ya kupinga kulingana na mtazamo wako, ila kwa sasa hivi aliyepo madarakani ni yeye, wewe haki yako ni kutoa maoni yako tu, sio zaidi ya hapo.
Hahahaha. Hata Dar kheri Nakuru tu. Hakuna CBD!!!!!!!Sasa subutu ya nini wakat unajua tuko vizuriView attachment 1534921View attachment 1534923View attachment 1534936
Jama anaongea kwa bashasha sana...inaonekana mambo mazuri yajaMji wa serikali
Hehehee!!engineer levi akiziona atacheka sanaSasa subutu ya nini wakat unajua tuko vizuriView attachment 1534921View attachment 1534923View attachment 1534936
Huu mjii utakumiza sana kichwa amini kwambaaa....nyie ndio mnapiga virangi na sidewalks sasa hivi....hili dude lilisha maliza izo mambo ndogo ndogo.....usisahau SGR soon CBDHahahaha. Hata Dar kheri Nakuru tu. Hakuna CBD!!!!!!!
Hahahaha. Hata Dar kheri Nakuru tu. Hakuna CBD!!!!!!!
Akuna jipyaaa hili ndio jiji mengine niuchaf tuuu....Hehehee!!engineer levi akiziona atacheka sana
Yani mnatoka kweny uchaf wa cbd ...kisa virang n sidewalks vinawa pumbazaHahahaha. Hata Dar kheri Nakuru tu. Hakuna CBD!!!!!!!