The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Umeandika kitu gani sasa hapo!?



wanajifanyaga wa matawi kumbe hamna kituNa wenye mali yaoWe babaika tu..
Unajikuta jimbi, utachinjwa babaa


https://www.tanroads.go.tz/common/uploads/projects/brt_phase_3.mp4
Ukitazama vizuri hii video utagundua mji wa Dar es salaam pamoja na uwingi wa watu bado unajitahidi sana kwa usafi,hakuna milima milima ya uchafu kbs hii ni latest video credits kwa Tanroads visual site visit ya BRT phase 3 maeneo mengine unaweza sema ni render hahahah duh 😍
Kenya mwanaume ni mmoja tu,uhuru kenyatta pekee. .hakuna mwingine anaweza kuwa rais,halafu kumbe huyu jamaa ni ditactor maana tangu mkapa ni raisi,kaja kikwete kapita,sasa magu naye huyo anakaribia kumaliza muda wake lakini jamaa tu yupo madarakani na wala hana mpango wa kuachia madaraka. .kenya mwanaume ni mmoja tu,wengine wooote ni wanawake


kuna kaukweli hapaalafu wanavyokosa ustaarabu kutumia tafsida eti kutokunyaMaendeleo pekee ambayo ndugu zetu WAKENYA wameweza jamani tuwapongeze kwà hili kabisa..View attachment 1528914



First tell your stupidy engineers to visit Tz and learn how to fix electric pole ...then only then dumb such as you can be given a platform to speakAnd that list only states "delicious" foods not the "most consumed'. No wonder no one wants to invest in the banana republic or Tanzania where people are so dumb.






au inamaana alipata uraisi 2010...?..kuna kaukweli hapa


Is this the only developed part of Dar? We are sick and tired of seeing the same pictures everyday.
Hapa ndio mwisho wa reli kigomaaa, yn jirani akiiona hii huwa anatetemeka mno anajua hili ndilo kaburi lake








