mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,513
hamna shida muda utafika kila mtu atajua nani ni nani, kama dunia ambavyo imejua.Kuna lingine lilikua linasifia JKIA nlipolionyesha clip za JNIA likafyata mkia, unajua mikenya imefanikiwa kusambaza majigambo yao hadi ndani ya TZ ambapo bila kuwafunulia waTZ mazuri yaliyopo nchini itachukua muda kuwaweka sawa


