Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara inayoenda Simu 2000 kutokea maji pale kuunganisha na ya ubungo interchange inapigwa zege la maana. Ni seheme ya BRT?

ni BRT na inapita kweny huo mto kuvuka kuelekea Ubungo Terminal.. wanasema pale Ubungo itakuwa ni deposit ya BRT buses... hata ukiangalia barabara ya SamNujoma pale njia panda ya chuo katikat kuna BRT
 
images - 2020-08-07T060718.031.jpeg
 
Miccm yote ni mijinga kabisa.Vinakula kinyesi tu havitumii ubongo.Huwezi kureason na hivi vinyangarika na akili kama vya vifaranga😂😂
 
Miccm yote ni mijinga kabisa.Vinakula kinyesi tu havitumii ubongo.Huwezi kureason na hivi vinyangarika na akili kama vya vifaranga
Kuna comments nyingine ukiziona unagundua kabisa kuna shida au kuna kitu kinakusumbua,

Tafuta mtaalamu wa saikolojia akusaidia maana stress sio nzuri but sidhani kama ni stress ndio inakusumbua...wewe kinachokusumbua ni akili fupi, wivu, pamoja na chuki.
 
Back
Top Bottom