babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Kazi imeanza 








So all in all you pay rent tu stay in mother faki slum!!!!!?300 nairobi hyo ni fare ya kumtoa hyo mtu kumpeleka town na kumrudisha..
Sasa ukisikia watu km hao waangalie tu, heheee!!alafu tatizo story yake ilibuma.alitaka a trend ndio aonekaniwe km wenzake ambao tayari wameshakua ma celeb
Du! Ksh300 kwa nauli tu ya kwenda town na kurudi wakati hiyo Pesa hapa tz unatumia week mzima kwa nauli ya tsh400 = k20300 nairobi hyo ni fare ya kumtoa hyo mtu kumpeleka town na kumrudisha..
Sasa ukisikia watu km hao waangalie tu, heheee!!alafu tatizo story yake ilibuma.alitaka a trend ndio aonekaniwe km wenzake ambao tayari wameshakua ma celeb
Vile unaongea unaonekana hata iyo akili ilisha liwa na ufukara pimbi moja ww ...hata uwezo wa kufikir uliachia jubileeMiccm yote ni mijinga kabisa.Vinakula kinyesi tu havitumii ubongo.Huwezi kureason na hivi vinyangarika na akili kama vya vifaranga![]()
Alikuwa anachora matatu kachaUmeandika kitu gani sasa hapo!?
Hiyo BRT.
mkuu iko slow especially kwenye simu.kuidownload kwanza ndio njia nzuri pekee.Umefanikiwa?.View attachment 1529234
Server yao iko slow sana au wanabania traffic baadhi ya nchi, nimeamua kuidownload kwanza ili niione vizuri
Nimeidownload yote.mkuu iko slow especially kwenye simu.kuidownload kwanza ndio njia nzuri pekee.Umefanikiwa.
Kazi imeanza
Mie mwenyewe nimeshangaa kuliona hatua hii...hakika kazi inachapwa kweli kweli.
Haya mabarakoa wanavaa ya nini huku kwetu?
Haijafika huko bado,Mie mwenyewe nimeshangaa kuliona hatua hii...hakika kazi inachapwa kweli kweli.
Uchuuzi lazma uchomekwe pin! Hamna utapeli anymore ATCL na TCAA wafanye fast kununua freighter jet na kuutumia uwanja wa Songwe!
Hii haipishani na tanzanite, yaani kenya, India na South Africa ndio walikuwa wauzaji wakubwa wa tanzanite.Niliwahi kuwauliza wakenya wanayalima wapi hawajasema