Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niliskia dar haina slum..uwanja wa fisi ni slum ama city?
..SLUM nyingine ndio hio
1596364412346.png

1596364431832.png
 
Kama Kenya hapakuwa na lockdown basi kulikuwa na lockup
Akili za mchwawi utazijua tu, hivi tangia uzaliwe umebadili waganga wangapi hko bongo[emoji23][emoji23]
Wazee wa kupiga ramli hamjambo, yani ukiwa tanzania mpka unashangaa..kamkasa kadogo au homa ushauri wa kwanza mtu unaambiwa hicho sio kitu cha kawaida nina mganga wangu nitakupeleka..

Yani najikuta nacheka tu huku nikipiga painkillers zangu na maisha yanasonga
 
Mean while.........Nairobi city... The Highway to Rongai and Galleria Shopping Mall on the right.
1596364659249.png


MBAGATHI ROAD
1596364737981.png

Wilson Airport Shot at take off.
1596364778471.png
 
MY fellow neighbours wa south..niliskia kua waga ..dar haina slum..we need to talk here?..the following pictures below i hope you are all familiar with ?

.View attachment 1524388

kumbe your slumz are massive hivi,,but nashindwa mbona waga mnacheka kibera na nyinyi mko na slums tena karibu na city? something which is not in kenya
HII bara bara ni ya morogoro inakupeleka moja kwa moja hadi cbd town..
View attachment 1524391
wacha sasa twende kwa ground watch this clip
Hizo ni "middle class areas" bro..
Hamna slums hapo, utachekwa next tim
 
Hehehe!!yani kitu ambacho nyapaka hapendi ni kujitekenya ili aingie forbes..
Kw mfano tu, nenda katika jaribu la forbes uone km utamkuta Lukas wanjiru[emoji23][emoji23][emoji23]
Simjui, kwhyo siko interested
 
Akili za mchwawi utazijua tu, hivi tangia uzaliwe umebadili waganga wangapi hko bongo[emoji23][emoji23]
Wazee wa kupiga ramli hamjambo, yani ukiwa tanzania mpka unashangaa..kamkasa kadogo au homa ushauri wa kwanza mtu unaambiwa hicho sio kitu cha kawaida nina mganga wangu nitakupeleka..

Yani najikuta nacheka tu huku nikipiga painkillers zangu na maisha yanasonga
Sisi tunathamini mila na desturi zetu....huo ni utamaduni na wala sio ujinga.
 
Sisi tunathamini mila na desturi zetu....huo ni utamaduni na wala sio ujinga.
Then hakuna aja kushindana na nairobi ..nairobi is more of western culture...kama ni desturi na mambo zengine from today shindaneni na mombasa huko ndio kuna mambo kama haya..nairobi is not a force to reckon with...nowonder economy yake inashindana na the whole tanzania
 
Then hakuna aja kushindana na nairobi ..nairobi is more of western culture...kama ni desturi na mambo zengine from today shindaneni na mombasa huko ndio kuna mambo kama haya..nairobi is not a force to reckon with...nowonder economy yake inashindana na the whole tanzania
Western na yale ma slum ya kibera?..watu wanapangusa matako na magazeti msalani?
 
Back
Top Bottom