Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni high rise Slum tu. Better Roysambu In Nairobi
IMG_20200729_090817.jpg

IMG_20200729_090814.jpg
 
When people are struggling with Upperhill, Kilimani, Westlands, Parklands, Parkroad, Runda Hurlinghum, Kileleshwa etc, other hoods like Ruaka are coming very fast. Only 2018, it was a bush, 2 years later and it is a City
View attachment 1519119View attachment 1519121
Kitu pekee kinachoonesha nchi ime mature kama real MIC ni real estates developments maana huwezi kuwa na booming real estate sector kama ilivyo Kenya kama hakuna middle income earners wengi,Tzn bado saana kufika huku ila ndio safari imeanza
 
There are projects in Nairobi that are big. This project in Ngara is huge.
10 Towers 8 Floor
6 Towers 15 floor
10 Towers 20 Floors
6 Towers 25 Floors.
Sorry for poor quality
View attachment 1519152View attachment 1519153View attachment 1519154
Hongera zenu inaonyesha kweli nyie ni MIC,huku bongo sekta ya real estates ilishadorora toka JK atoke imebakia mashirika machache ya serikali wanajenga nyumba za serikali dodoma,elsewhere kila mtu anakomaa na dream house yake tu
Ndio maana hadi leo hii nssf wamekwama kumalizia majengo yao pale posta maana pesa hakuna na hata wapangaji ni hakuna pia,likewise mikoani
 
Kenya mnawakilisha vyema sana hapa EAC kama nchi inayoibukia kimaendeleo na wala hakuna nguvu kubwa ya kujisifia kama kule kwingine,good enough ni private sector led initiative ambayo inamnufaisha kila mwenye kutumia maarifa na juhudi zake vizuri..Huku bongo tunawategemea sana kwenye teknologia za kilimo na masoko ya mazao yetu
 
Kitu pekee kinachoonesha nchi ime mature kama real MIC ni real estates developments maana huwezi kuwa na booming real estate sector kama ilivyo Kenya kama hakuna middle income earners wengi,Tzn bado saana kufika huku ila ndio safari imeanza
Kigezo hicho cha real estate kilichaguliwa na nani, au ni mawazo yako ili angalau uonekane japo na wewe unajua kuzungumza?
 
Kenya mnawakilisha vyema sana hapa EAC kama nchi inayoibukia kimaendeleo na wala hakuna nguvu kubwa ya kujisifia kama kule kwingine,good enough ni private sector led initiative ambayo inamnufaisha kila mwenye kutumia maarifa na juhudi zake vizuri..Huku bongo tunawategemea sana kwenye teknologia za kilimo na masoko ya mazao yetu
Lakini Tanzania inaongoza Africa katika Economic inclusiveness na Kanya inashika mkia, habari hiyo unaijua?
 
Back
Top Bottom