Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bagamoyo Road Expansion.

IMG_0182.jpg

IMG_0181.jpg
 

😅😅😅😅sijui watu wanajiskiaje.

Unajua ubaya wa dsm inabadirika kwa kasi sana 2017 wakati huu uzi unafunguliwa.hapa palikuwa pa hovyo tu.

Sijui 2025 hali itakuwaje.Mungu atupe uzima.
Maana ndugu zetu silaha zimeisha siku hizi wanafungua uzi hata uwekaji wa paving za watembea kwa miguu😂😂😂😂
 
😅😅😅😅sijui watu wanajiskiaje.

Unajua ubaya wa dsm inabadirika kwa kasi sana 2017 wakati huu uzi unafunguliwa.hapa palikuwa pa hovyo tu.

Sijui 2015 hali itakuwaje.Mungu atupe uzima.
Maana ndugu zetu silaha zimeisha siku hizi wanafungua uzi hata uwekaji wa paving za watembea kwa miguu😂😂😂😂
2015 aisee
 
😅😅😅😅sijui watu wanajiskiaje.

Unajua ubaya wa dsm inabadirika kwa kasi sana 2017 wakati huu uzi unafunguliwa.hapa palikuwa pa hovyo tu.

Sijui 2025 hali itakuwaje.Mungu atupe uzima.
Maana ndugu zetu silaha zimeisha siku hizi wanafungua uzi hata uwekaji wa paving za watembea kwa miguu😂😂😂😂
wengine walifungua uzi kufunguliwa vyoo 😂😂😂😂
 
Watanzania huwa mara nyingi hupost picha za Dar es salaam humu sio rahisi uwaone wakipost picha za Nairobi humu labda uwachokoze,

Ila mkenya anaamka tu asubuhi anaanza kupost picha za Dar

Ina maana picha za Nairobi zimeisha au ni inferiority complex ama ni kweli wameanza kuogopa hii battle!
 
Watanzania huwa mara nyingi hupost picha za Dar es salaam humu sio rahisi uwaone wakipost picha za Nairobi humu labda uwachokoze,

Ila mkenya anaamka tu asubuhi anaanza kupost picha za Dar

Ina maana picha za Nairobi zimeisha au ni inferiority complex ama ni kweli wameanza kuogopa hii battle!
Tena picha yenyewe anapost ni ya 90s
 
Back
Top Bottom