NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Huenda...kama kweli wewe ni choko . Ila hajasema.Kwa hiyo mzungu akisema wewe ni choko, unakuwa choko?
2015 aisee😅😅😅😅sijui watu wanajiskiaje.
Unajua ubaya wa dsm inabadirika kwa kasi sana 2017 wakati huu uzi unafunguliwa.hapa palikuwa pa hovyo tu.
Sijui 2015 hali itakuwaje.Mungu atupe uzima.
Maana ndugu zetu silaha zimeisha siku hizi wanafungua uzi hata uwekaji wa paving za watembea kwa miguu😂😂😂😂
Where are new towers like TPA? This is the old picture of Dar (1990s)


Very very old pictures, na ukitaka tuweke old pictures za nairobi utakimbia humuIt's an insult to compare Nairobi to a fishing village dar slumView attachment 1521106View attachment 1521107View attachment 1521108View attachment 1521109



Very fantastic
umewahi kufika wanjala???😂😂😂Yaani anadhani hatukijui Sandton.
wengine walifungua uzi kufunguliwa vyoo 😂😂😂😂😅😅😅😅sijui watu wanajiskiaje.
Unajua ubaya wa dsm inabadirika kwa kasi sana 2017 wakati huu uzi unafunguliwa.hapa palikuwa pa hovyo tu.
Sijui 2025 hali itakuwaje.Mungu atupe uzima.
Maana ndugu zetu silaha zimeisha siku hizi wanafungua uzi hata uwekaji wa paving za watembea kwa miguu😂😂😂😂



Tena picha yenyewe anapost ni ya 90sWatanzania huwa mara nyingi hupost picha za Dar es salaam humu sio rahisi uwaone wakipost picha za Nairobi humu labda uwachokoze,
Ila mkenya anaamka tu asubuhi anaanza kupost picha za Dar
Ina maana picha za Nairobi zimeisha au ni inferiority complex ama ni kweli wameanza kuogopa hii battle!



Media zao huwa zinawajaza ujinga sana bila kusahau huwa wanaanza kukaririshwa kuanzia shuleni kuwa wapo bora kuliko waafrica wengineWalizoea kuongopeana wanazidi Tz kwa mambo mengi but now kibao kimegeuka WaTz ndiyo wanaamini wamezd kenya mambo mengi![]()


