Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nchi ilikuwa imeoza sana halafu utasikia mkumbaf mmoja eti JPM hajafanya kitu,

Yaani walikuwa wanazima umeme makusudi na kufungulia mabwawa ili wauze majenereta yao,

Sasa hivi mgao wa umeme umekuwa historia wakati kipindi kile ulikuwa unakatika asubuhi na kurudi usiku na hii ilipelekea nchi kukosa wawekezaji waliokuwa na mpango wa kufungua viwanda.
Ilikuwa ukienda pale kkoo mida km hii unasikia majenereta tu kkoo nzima, na ikifika weekend ndo kabisa hakuna umeme, yn watu wana lana sn hv inakuwaje mtu unashindwa kutosheka na unachokipata? Hawa African leaders mbn ni wasaliti sn?
 
Hao ndio wenye vihamba Kenya pamoja na watoto na wajukuu zao.

Yani ukienda kenya kila eneo ni mama Ngina, mashamba ya chai mama ngina, ya maua mama ngina, ranchi za ngombe wa maziwa mama ngina, mashamba ya ovacado mama ngina, parks za beach mombasa mama ngina, city park nairobi mama ngina.majengo na mahoteli mama ngina... huyu mama ni mama gani? na huyo ngina ni nani?...nimemuuliza mdau hapo ila kanitoroka bila jibu.

Ndio maana Jayden ananenepa tu na kutoka mashavu...😂😂😂
 
Ilikuwa ukienda pale kkoo mida km hii unasikia majenereta tu kkoo nzima, na ikifika weekend ndo kabisa hakuna umeme, yn watu wana lana sn hv inakuwaje mtu unashindwa kutosha na unachopata? Hawa African leaders mbn ni wasaliti sn?
Kuna mambo muda mwingine unafikiria hadi unakosa jibu
 
Yani ukienda kenya kila eneo ni mama Ngina, mashamba ya chai mama ngina, ya maua mama ngina, ranchi za ngombe wa maziwa mama ngina, mashamba ya ovacado mama ngina, parks za beach mombasa mama ngina, city park nairobi mama ngina.majengo na mahoteli mama ngina... huyu mama ni mama gani? na huyo ngina ni nani?...nimemuuliza mdau hapo ila kanitoroka bila jibu.

Ndio maana Jayden ananenepa tu na kutoka mashavu...😂😂😂
Mke wa mh hayati jomo Kenyatta
 
This was during Kikwete"s era when the economy was booming and growing at more than 7% annually lakini sio zama hizi za mjamaa Magu every thing especially private economy has stalled and is struggling ndio maana hakuna chochote cha maana kinafanywa na private sector kwa sasa
Show us your current updates to substiant your argument!
 
Yn watu waliotumbuliwa wana hasira sn na Magu lkn wanasahau kwamba walikuwa wanaiingizia serikali hasara kwa kuwalipa mishahara wasiyostahili na bado wapo wengi tu mkuu bado wapo serikalini wazee wa vimemo.
Licha ya hasara kubwa,,pia wanawanyima fursa watu wenye sifa stahiki ya kushika hizo nyadhfa....imagine mtu amesoma kwa ufaulu mzuri wa kuanzia shule ya msingi mpaka chuo anakosa kazi kisa kuna pande la mtoto wa kigogo aliekaa mtaani tuu bila kuhenyea shule.JPM ni shujaa wetu acha huyo ahare uharo wake..hatujali.
 
Nchi ilikuwa imeoza sana halafu utasikia mkumbaf mmoja eti JPM hajafanya kitu,

Yaani walikuwa wanazima umeme makusudi na kufungulia mabwawa ili wauze majenereta yao,

Sasa hivi mgao wa umeme umekuwa historia wakati kipindi kile ulikuwa unakatika asubuhi na kurudi usiku na hii ilipelekea nchi kukosa wawekezaji waliokuwa na mpango wa kufungua viwanda.
Ni ukweli usiofichikwa kwamba JK aliifubaza nchi yetu sana,kwanza tukawa wanyonge kwenye taifa letu na hata uko nje, watu wachache wanaojiita wajanja wa mjini wakanufaika wenyewe,,,wanyonge hawakuskizwa...leo hii kuna mjinga atakufundisha namna ya kumsifu JPm...
 
Ndio hao waliokuwa wanafungulia mabwawa makusudi ili nchi iingie kwenye mgao wa umeme ili wauze majenereta
Huyu jamaa lazima atakuwa ameathirika kiuchumi either directly au indirectly baada ya Presida Magu:
1. Kudhibiti uingizaji na usafirishaji wa ngada
2. Kudhibiti biashara ya pembe za ndovu (Meno ya tembo n.k)
3. Kuwatumbua wenye vyeti feki
4. Kudhibiti watumishi hewa kwenye utumishi wa umma

AMEATHIRIKA KISAIKOLOJIA TUMUACHE NA TUMHURUMIE TU HUYU.
 
Huyu jamaa lazima atakuwa ameathirika kiuchumi either directly au indirectly baada ya Presida Magu:
1. Kudhibiti uingizaji na usafirishaji wa ngada
2. Kudhibiti biashara ya pembe za ndovu (Meno ya tembo n.k)
3. Kuwatumbua wenye vyeti feki
4. Kudhibiti watumishi hewa kwenye utumishi wa umma

AMEATHIRIKA KISAIKOLOJIA TUMUACHE TU NA TUMHURUMIE TU HUYU.
Huyo hakuna haja ya kureply quotes zake ni kumuignore tu.
 
Bila filter kunyaland mambo hayaendi
Huwa nikiicheki mibarabara yao mivumbi pembeni mtindo mmoja, af mm na ma road yenye vumbi huwezi niambia kitu nkakuelewa, Dar tumejaliwa hakuna vumbi jekundu km nairobi ila kuna vile vimchanga flani barabarani Makonda alianza kwa mbwembwe usafi usafi na kweli road zilikuwa clean but naye akasanda matokeo yake mitaani tuna roads nzr za kupendeza lkn michanga inaondoa mandhari nzuri ya roads, nimepanga cku nifungulie uzi nimuombe mkuu mpya wa mkoa aseme na wenyekiti wa mitaa wahakikishe roads na mitaro vinakuwa clean au faini kwa wale ambao barabara zinazopita barazani kwao zitabainika kuwa na mchanga au mitaro yenye taka.
 
Upperhill Nairobi Kenya, will overtake Sandton South Africa in the coming few years after all road projects are done
View attachment 1519136View attachment 1519137View attachment 1519138View attachment 1519139View attachment 1519140
What about these...?
IMG_20200714_145434_9.jpg
 
Back
Top Bottom