Mi ningekuwa Rais wa nchi hii ningeondoa Anatoglo, Shule ya Mnazi Mmoja, hospitali ya Mnazi mmoja, Mahakama ya Mnazi moja na hata ile supermarket ya Bakwata kule mwisho . Ningewalipa fidia na kurudisha hii sehemu kuwa natural park! Hospitali ya mnazi mmoja ningeitafutia kiwanja upande wa Kkoo na kui-accomodate ndani ya 20 floor tower!
Shule ya Mnazi mmoja ningevunja shule za Primary za Uhuru na kisutu na kujenga hata shule za floor 4-5 na ku-accomodate wanafunzi wengi zaidi ikiwemo wa Mnazi mmoja! Zile shule za Uhuru na Mnazi mmoja ziko outdated only Mkapa High school and Al Muntazir deserve to remain there! Mji umepanuka inapaswa ku-accomodate modern structures with good planning!