Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unatoa reason zisizo na mashiko! Kwani ni magari ya Tanzania tu yanatembea barabara zetu? Mpaka u-substantiate kutohitaji barabara pana? Traffic Density ya mahali inasababishwa na factor nyingi zikiwemo Population density yenyewe! BTW mbona Dar ni kubwa zaidi on the population density? Na uwepo wa port je, si unasababisha traffic influx pia! je surrounding landlocked countries? mining activities at mainland? Je uwepo wa interaction na visiwa karibu na Dar?
Siamini kuona hizi hoja nyepesi nyepesi zinatoka kwa mtu mahiri kama wewe, kwani ni magari ya Kenya tu yanatembea barabarani, ukweli ni kwamba "interms of density" iwe ni watu au magari, Kenya density ipo juu kulinganisha na Tanzania.

Nairobi population density ni Mara tatu ya Dar, vivyo hivyo kwenye vehicle density. Bandari ya Mombasa inapitisha tani milioni 10 zaidi ya Dar, hata malori ya mizigo toka bandarini ni mengi zaidi kuliko Dar.

Hapo juu kuna Mkenya ameweka link inayoonyesha nchi zenye MAGARI mengi, Tafadhali pinga hiyo data kwa kuweka data mbadala ambazo zinapingana na hizo, punguza maneno weka data, data hupingwa kwa data sio maneno matupu.
 
Siamini kuona hizi hoja nyepesi nyepesi zinatoka kwa mtu mahiri kama wewe, kwani ni magari ya Kenya tu yanatembea barabarani, ukweli ni kwamba "interms of density" iwe ni watu au magari, Kenya density ipo juu kulinganisha na Tanzania.

Nairobi population density ni Mara tatu ya Dar, vivyo hivyo kwenye vehicle density. Bandari ya Mombasa inapitisha tani milioni 10 zaidi ya Dar, hata malori ya mizigo toka bandarini ni mengi zaidi kuliko Dar.

Hapo juu kuna Mkenya ameweka link inayoonyesha nchi zenye MAGARI mengi, Tafadhali pinga hiyo data kwa kuweka data mbadala ambazo zinapingana na hizo, punguza maneno weka data, data hupingwa kwa data sio maneno matupu.
Umesahau ao watu walikuwa wanaleta data za kutengeza wenyewe mpaka wakawa wanaumbuliwa
 
Unatoa reason zisizo na mashiko! Kwani ni magari ya Tanzania tu yanatembea barabara zetu? Mpaka u-substantiate kutohitaji barabara pana? Traffic Density ya mahali inasababishwa na factor nyingi zikiwemo Population density yenyewe! BTW mbona Dar ni kubwa zaidi on the population density? Na uwepo wa port je, si unasababisha traffic influx pia! je surrounding landlocked countries? mining activities at mainland? Je uwepo wa interaction na visiwa karibu na Dar?
Which African Countries Have the Most Cars on the Road?
Pinga hii data kwa kutumia data ambazo ni more reliable.
 
shida yako wewe fala huwa unahemka na kukurupuka na hueleweki..Mara useme huwa hapongei mara useme nasifia mfugale yaani unamseleleko wa akili kama unashindia mlenda na matobolwa
Kwa taarifa yako hiyo flyover ya mfugale sijaisifia ila nimesema ni ya kawaida sana ukilinganisha na ile interchange ya kurasini kuelekea daraja la kigamboni/nyerere lakini hatukuwahi kuona pambio na sifa kama awamu hii,kuna miradi ingi ya dizaini hiyo
Hujajibu swali langu hadi leo hii wewe muimba pambio,taja mkoa uliounganishwa na barabara ya lami chini ya awamu ya 5,sio kurukaruka kama maharge motoni..utalamba sana ass ili upate ujira wako
We nawe bwabwa tu, tutolee upumbavu wako hapa senge wewe. Ni mkoa gani haukuwa umeunganishwa kwa lami au unataka magufuli abomoe barabara ajenge zingine unazozitaka wewe. Halafu kusimamia mhimili wa utanzania kufanya usenge wako ni ushoga.
 
Nnachojua ni kwamba Tz ililala sn hususani kwny mambo mengi hata haya ya takwimu, ilikuwa kawaida kusikia kenya ina watalii wengi EA, Kenya inaongoza kwa uuzaji wa tanzanite, oohh kenya inaongoza kwa uzalishaji wa Avocado, cc huku viongozi wetu wanashindana kupiga pesa za ufisadi tu wkt kenya ikisaidiwa na wazungu kurekebisha statistics, hata hii idadi ya mamilionea iliyotoka hv karibuni ingelikuwa ni Tz ile lazima ungelickia kenya inaongoza kwa millionaires EA, hata takwimu za mkonge zilizotoka juzi nsingeshangaa kuckia kenya inaongoza kuzalisha mkonge EA hyo ndiyo iliyokuwa Tz ya kizembe lkn co Tz hii ya Magu vitu vinawekwa hadharani kweupe, huwezi niambia kenya inapita Tz kwa idadi ya magari hakuna kitu kama hicho na hakiwezi kuwa, Tz gharama ya uingizaji wa magari ni cheaper than in Kenya hata kuna mkenya aliwahi kukubali hilo kwenye huu uzi humu, wacheni kabisa masihara Tz kuna gari nyng kuliko nchi yoyote ukanda huu.
100
 
Which African Countries Have the Most Cars on the Road?
Pinga hii data kwa kutumia data ambazo ni more reliable.
The used car import market in Africa is growing, leading to more cars on the road. Today, it is the most sought after market by car makers, and established Japanese brands like Toyota have worked hard at not falling from the top. Which countries have the most? Let’s take a look

Ijaelezea makampuni jumuishi ni kutoka japani tu
 
Muhimu ni hiyo Gari au private jets kuwa imesajiliwa Kenya. Lakini katika hili Mimi ninazungumzia wakenya kumiliki private jets na helcopters. Kumbuka kwamba helicopters nyingi zinazotumika hapa Tanzania zinakodishwa toka kwa wakenya?.

Helicopter iliyotumiwa na DEO Filikunjombe na kusababisha kifo chake ilikua ya Kalonzo Musyoka, Rutto anayo Private helicopters, Musalia Mudavad, Raila na wabunge wengi wa Kenya wanazo.

Upande wa Private jets; Chris Kirubi, na baadhi ya wakurugenzi kadhaa wa Kenya wanazo Private jets. Je kuna watanzania wangapi wenye private jets na Helicopters?
😂😂😂😂.hata moja ni shida
 
2012 dar only 1m cars 👇👇👇
D636726E-5C16-4E9C-93DF-CFA4347D4A74.jpeg
 
Siamini kuona hizi hoja nyepesi nyepesi zinatoka kwa mtu mahiri kama wewe, kwani ni magari ya Kenya tu yanatembea barabarani, ukweli ni kwamba "interms of density" iwe ni watu au magari, Kenya density ipo juu kulinganisha na Tanzania.

Nairobi population density ni Mara tatu ya Dar, vivyo hivyo kwenye vehicle density. Bandari ya Mombasa inapitisha tani milioni 10 zaidi ya Dar, hata malori ya mizigo toka bandarini ni mengi zaidi kuliko Dar.

Hapo juu kuna Mkenya ameweka link inayoonyesha nchi zenye MAGARI mengi, Tafadhali pinga hiyo data kwa kuweka data mbadala ambazo zinapingana na hizo, punguza maneno weka data, data hupingwa kwa data sio maneno matupu.
Facto with facto😎
 
Back
Top Bottom