Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2012 dar only 1m cars 👇👇👇
View attachment 1506442
Bado mko nyuma ya Kenya.

unnamed (1).png
unnamed.png
 
Hizi forums za ratings si sahihi.

Kenya wamechukua nafasi ya Tanzania. Tanzania ni namba 3 kwa nchi zilizo na idadi kubwa ya livestock Africa.

South Africa, idadi ya livestock ni less than 5 million, wakati Tanzania idadi tu ya Ng'ombe ni more than 35M.

Forums nyingi ji Wakenya huanzisha kwaajili ya kupoyosha.
Ngombe mmoja wa mmaziwa anazalisha maziwa ya ngombe za kiasiri kama kumi,kwaivo si sahihi kucompare number of livestock na milk production,angalia new Zealand wana ngombe wangapi alafu ulinganishe na India alafu uone production yamaziwa ni kama usiku na mchana..

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Today's facts.
1. JKIA handles more passengers than all Tanzanian airports combined.
2. Mombasa port handles twice the number of cargo volumes handled by all Tanzanian ports combined.
 
Ngombe mmoja wa mmaziwa anazalisha maziwa ya ngombe za kiasiri kama kumi,kwaivo si sahihi kucompare number of livestock na milk production,angalia new Zealand wana ngombe wangapi alafu ulinganishe na India alafu uone production yamaziwa ni kama usiku na mchana..

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ni sawa lakin Kunyaland haiwezi kuwa na maziwa mengi kuliko sisi...Ranch zetu za serkali na zile za watu binafsi ni nyingi saana kuliko zilizoko Kunyaland....kwa hilo tuu ni ushindi.
 
Si mmeona vitakwimu ushuzi km hv, eti Tz ya 10 kwenye uzalishaji maziwa
Mbona watanzania mna akili finyu ivi?haimaanishi juu mko na ngombe wengi it's translate to maziwa Ka unajua dairy farming nini, ngombe mmoja wa grade anatoa maziwa zaidi ya mara kumi kushinda ngombe wa kieyeji...hii hapa tunazalisha maziwa mengi mara mbili zaidi yenyu nitaftie source yoyote unasema otherwise nifunge account
Screenshot_2020-07-14-15-13-04-08.jpg


Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom