Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

so mm labda nikuulize swali kama shirika lipo UK limeamua kuekeza biashara ya private jets kenya unamaanisha hao wenye shirika lazma wawe kenya ili wamiliki magari???
Muhimu ni hiyo Gari au private jets kuwa imesajiliwa Kenya. Lakini katika hili Mimi ninazungumzia wakenya kumiliki private jets na helcopters. Kumbuka kwamba helicopters nyingi zinazotumika hapa Tanzania zinakodishwa toka kwa wakenya?.

Helicopter iliyotumiwa na DEO Filikunjombe na kusababisha kifo chake ilikua ya Kalonzo Musyoka, Rutto anayo Private helicopters, Musalia Mudavad, Raila na wabunge wengi wa Kenya wanazo.

Upande wa Private jets; Chris Kirubi, na baadhi ya wakurugenzi kadhaa wa Kenya wanazo Private jets. Je kuna watanzania wangapi wenye private jets na Helicopters?
 
Muhimu ni hiyo Gari au private jets kuwa imesajiliwa Kenya. Lakini katika hili Mimi ninazungumzia wakenya kumiliki private jets na helcopters. Kumbuka kwamba helicopters nyingi zinazotumika hapa Tanzania zinakodishwa toka kwa wakenya?.

Helicopter iliyotumiwa na DEO Filikunjombe na kusababisha kifo chake ilikua ya Kalonzo Musyoka, Rutto anayo Private helicopters, Musalia Mudavad, Raila na wabunge wengi wa Kenya wanazo.

Upande wa Private jets; Chris Kirubi, na baadhi ya wakurugenzi kadhaa wa Kenya wanazo Private jets. Je kuna watanzania wangapi wenye private jets na Helicopters?
Aise ndugu leo upo sawa kweli!?
Sikuelewi!!!
Hebu tupe evidences ya hayo unayoongea.
Mbona TZ Bakhressa ana milki boats but hakuna huko kenya.
Kwa heshima yako nakuacha kwa sasa. Ukiendelea huu ujinga hakika tutakuona askari mwenzetu umetugeuka na tutaanza kupambana na wewe.

Halafu unaongea vitu ovyo ovyo tu bila facts.
 
Hebu niambie.
Hapa Tanzania kwa analysisi niliyokupa sijaweka magari ya zanzibar, Serikali, mashirika ya UN nk.

Kwani mashirika ya UN yanafika 1000 huko kenya!?
Halafu hao hao wakenya mwaka jana walisema wamesajili vyombo vya moto 2.9m mpaka kufikia june mwaka jana. Ukijumlisha na pikipiki.

Sijakuelewa hizo data zako unatoa wapi!?
Kaka mbona hutaki kujibu hoja zangu?, vipi wakenya watuzidi katika kumiliki Private jets na Helicopters lakini katika MAGARI unakataa?. Vipi watuzidi katika idadi ya viwanda, idadi kubwa ya wazungu, idadi kubwa ya UN employees, idadi kubwa ya embassies, idadi kubwa ya International companies ambavyo vyote hivyo vinanunua na kutumia idadi kubwa ya MAGARI, lakini unapinga Kenya kuwa na idadi kubwa ya MAGARI?, huo ujasiri wa kupinga unautoa wapi?
 
Kaka mbona hutaki kujibu hoja zangu?, vipi wakenya watuzidi katika kumiliki Private jets na Helicopters lakini katika MAGARI unakataa?. Vipi watuzidi katika idadi ya viwanda, idadi kubwa ya wazungu, idadi kubwa ya UN employees, idadi kubwa ya embassies, idadi kubwa ya International companies ambavyo vyote hivyo vinanunua na kutumia idadi kubwa ya MAGARI, lakini unapinga Kenya kuwa na idadi kubwa ya MAGARI?, huo ujasiri wa kupinga unautoa wapi?
joto la jiwe
Hoja zipi ulizoleta!?
Hapa tunaleta hoja zenye facts na vidences!?
Hapa unaandika maneno meengi kama wakenya.
Ni wewe kweli!?
Maana joto la jiwe nimjuae ni mtu mwenye facts siyo maneno mengi.
May be account yako ipo hacked. Au umetugeuka. Ngoja niende na wewe.

1. Nataka ulete facts na evidences ya kuhusu kenya ipo na magari mengi zaidi ya TZ

2. Usihamishe mada kuhusu vehicles na kuanza kuongelea jets. Tumalize issue ya vehicle tutaenda kwenye jets.

NB: Sitaki uniletee mixed topic. Nijakusubiri na nitaenda na wewe sambamba.
 
Tatizo joto la jiwe ameingia mtego wa wakenya.
Anaanza kuongea tu bila facts.
Anaongelea mazingira tukimuuliza mazingira yapi!? Anaongelea mashirika ya UN hivi mashirika ya UN yanaweza kumilk magari hata 100,000!!?
Tuwe serious basi.
Naomba wewe uweke facts kama unazo. Huwezi kupata facts za idadi ya magari kkiurahisi kwasababu kila siku kuna MAGARI yanayoingia nchini na kuna ambayo yanatoka barabarani kwa sababu mbalimbali.

Ushahidi wa kimazingira yanaweza kutoa picha halisi, hiyo hapo horodha hapo juu inaonyesha Kenya ipo na Gari nyingi kuizidi Tanzania. Kama unaoushahidi tuwekee ili tulinganishe.
 
Kaka mbona hutaki kujibu hoja zangu?, vipi wakenya watuzidi katika kumiliki Private jets na Helicopters lakini katika MAGARI unakataa?. Vipi watuzidi katika idadi ya viwanda, idadi kubwa ya wazungu, idadi kubwa ya UN employees, idadi kubwa ya embassies, idadi kubwa ya International companies ambavyo vyote hivyo vinanunua na kutumia idadi kubwa ya MAGARI, lakini unapinga Kenya kuwa na idadi kubwa ya MAGARI?, huo ujasiri wa kupinga unautoa wapi?
Leo unaongea pumba sn mkuu, ctegemei kuona ukiitetea Tz uko mbeleni, ningependa kuona tukiwa against.
 
joto la jiwe
Hoja zipi ulizoleta!?
Hapa tunaleta hoja zenye facts na vidences!?
Hapa unaandika maneno meengi kama wakenya.
Ni wewe kweli!?
Maana joto la jiwe nimjuae ni mtu mwenye facts siyo maneno mengi.
May be account yako ipo hacked. Au umetugeuka. Ngoja niende na wewe.

1. Nataka ulete facts na evidences ya kuhusu kenya ipo na magari mengi zaidi ya TZ

2. Usihamishe mada kuhusu vehicles na kuanza kuongelea jets. Tumalize issue ya vehicle tutaenda kwenye jets.

NB: Sitaki uniletee mixed topic. Nijakusubiri na nitaenda na wewe sambamba.

Tafadhali pinga hizi data kwa ushahidi wa data kama hizi, hata kama source yake sio reliable, lete data kupinga hii, wacha kuuliza tena maswali
 
Naomba wewe uweke facts kama unazo. Huwezi kupata facts za idadi ya magari kkiurahisi kwasababu kila siku kuna MAGARI yanayoingia nchini na kuna ambayo yanatoka barabarani kwa sababu mbalimbali.

Ushahidi wa kimazingira yanaweza kutoa picha halisi, hiyo hapo horodha hapo juu inaonyesha Kenya ipo na Gari nyingi kuizidi Tanzania. Kama unaoushahidi tuwekee ili tulinganishe.
Mazingira yapi yamekufanya useme Kenya inamagari mengi dhidi ya Tanzania!?
Kitu kikubwa kinachoweza kukupa estimation ni plate No.
1. Tanzani bara kwa sasa tumemaliza "D" kwenye private car tumeanza "E"

2. Kenya wapo kwenye series ya KCA-001A to KCA-999Z

3. Tanzania na Kenya zipo na magari ya Serikali na Taasisi sake.

4. Mashirika ya UN na Tanzania yapo.

5. Zanzibar ipo na registration no zake. Kenya haina Zanzibar.

So nataka ulete facts zako siyo maneno matupu.
 
Ss mbn haihusiani kabisa na mada, aisee wakuu hii accnt imehakiwa na mkenya co buree tuachane naye mkenya huyo cz hata muandiko co wa joto la jiwe
True. Naona jamaa anarukia mada ovyo ovyo tu. Ni aina ya wakenya.
Wakenya hawana facts huwa na maneno meengi.

There is something wrong.
Jamaa anajaribu kukuza ussue ndogo sana.
Wewe subiri uone. Sisi ni mafia.
Subiri nimalize kazi hapa.
 
Mazingira yapi yamekufanya useme Kenya inamagari mengi dhidi ya Tanzania!?
Kitu kikubwa kinachoweza kukupa estimation ni plate No.
1. Tanzani bara kwa sasa tumemaliza "D" kwenye private car tumeanza "E"

2. Kenya wapo kwenye series ya KCA-001A to KCA-999Z

3. Tanzania na Kenya zipo na magari ya Serikali na Taasisi sake.

4. Mashirika ya UN na Tanzania yapo.

5. Zanzibar ipo na registration no zake. Kenya haina Zanzibar.

So nataka ulete facts zako siyo maneno matupu.
Soma post #211367 hapo juu iliyowekwa na Simon, hata hiyo unaipinga?

Kuhusu plate namba, inategemea ni lini hiyo nchi imeanza kutumia huo mfumo, kumbuka Tanzania tulianza kutumia huo mfumo mapema zaidi kuliko Kenya, mwanzo tulikua tunatumia mfumo wa "TZA******* " . Kenya nao walikua wanatumia mfumo wao kabla ya kuanzia mfumo huu.

Kitu kinachonishangaza ni kupinga kwamba Kenya hawawezi kuwa na magari mengi wakati wana viwanda vingi kuliko Tanzania, viwanda vinakua na MAGARI mengi sana, Kenya bandari yao inapokea mizigo mingi kuliko Tanzania, lazima biashara ya usafirishaji bidhaa toka bandari ni kubwa zaidi ya Tanzania, na mambo mengi nimeyaeleza hapo juu.
 
Naomba wewe uweke facts kama unazo. Huwezi kupata facts za idadi ya magari kkiurahisi kwasababu kila siku kuna MAGARI yanayoingia nchini na kuna ambayo yanatoka barabarani kwa sababu mbalimbali.

Ushahidi wa kimazingira yanaweza kutoa picha halisi, hiyo hapo horodha hapo juu inaonyesha Kenya ipo na Gari nyingi kuizidi Tanzania. Kama unaoushahidi tuwekee ili tulinganishe.
Angalieni hicho kiswahili ni cha kenya kabisa, ngj tusubiri tuone huenda hawa washenzi wamemchezea joto la jiwe mana co kawaida kabisa kuongea utopolo km huu.
 
Soma post #211367 hapo juu iliyowekwa na Simon, hata hiyo unaipinga?

Kuhusu plate namba, inategemea ni lini hiyo nchi imeanza kutumia huo mfumo, kumbuka Tanzania tulianza kutumia huo mfumo mapema zaidi kuliko Kenya, mwanzo tulikua tunatumia mfumo wa "TZA******* " . Kenya nao walikua wanatumia mfumo wao kabla ya kuanzia mfumo huu.

Kitu kinachonishangaza ni kupinga kwamba Kenya hawawezi kuwa na magari mengi wakati wana viwanda vingi kuliko Tanzania, viwanda vinakua na MAGARI mengi sana, Kenya bandari yao inapokea mizigo mingi kuliko Tanzania, lazima biashara ya usafirishaji bidhaa toka bandari ni kubwa zaidi ya Tanzania, na mambo mengi nimeyaeleza hapo juu.
 
Si mmeona wakuu co mwandiko wa joto la jiwe huu so case closed nasubiri kesho nione km kweli ni joto au sio, ila km ni ww kweli kaa ukijua kesho moto utawaka, hatutakuacha upotoshe watu hv.
Usikimbie ni Mimi mwenyewe. Muda wote ninesisitiza kwamba, sio rahisi kupata idadi kamili ya magari zaidi ya kutumia Gari zilizokua registered nchini. Kwa kutumia njia hiyo unaweza kujua ni nchi ipi yenye Gari nyingi, data iliyowejwa na Simon hapo juu inaonyesha Kenya ipo juu ya Tanzania, au hata hiyo unapinga?_ basi tuwekee data unayoiamini wewe, kama huna data, basi tukubaliane na hiyo ya simon hapo juu
 
Soma post #211367 hapo juu iliyowekwa na Simon, hata hiyo unaipinga?

Kuhusu plate namba, inategemea ni lini hiyo nchi imeanza kutumia huo mfumo, kumbuka Tanzania tulianza kutumia huo mfumo mapema zaidi kuliko Kenya, mwanzo tulikua tunatumia mfumo wa "TZA******* " . Kenya nao walikua wanatumia mfumo wao kabla ya kuanzia mfumo huu.

Kitu kinachonishangaza ni kupinga kwamba Kenya hawawezi kuwa na magari mengi wakati wana viwanda vingi kuliko Tanzania, viwanda vinakua na MAGARI mengi sana, Kenya bandari yao inapokea mizigo mingi kuliko Tanzania, lazima biashara ya usafirishaji bidhaa toka bandari ni kubwa zaidi ya Tanzania, na mambo mengi nimeyaeleza hapo juu.
Hapa unaongea pumba tu.
Je kenya wanatumia no zipi!?
Huna fact yoyote kijana.

Mbona nyie wakenya mnahangaika sana!?
Nimekuambia fact inayoweza kukusaidia ni plate no.

Zaidi ya hapo ni porojo tu.
Mwaka jana KRA yalitoa taarifa kuwa wapo na 2.9m vehicles ukiojumlisha na pikipiki.

Huna ushahidi wowote. So lala ukiwa okay. Tutajuana.

joto la jiwe is not him.
 
Angalieni hicho kiswahili ni cha kenya kabisa, ngj tusubiri tuone huenda hawa washenzi wamemchezea joto la jiwe mana co kawaida kabisa kuongea utopolo km huu.
Yes naona kiswahili hakiko sawa. Jamaa anachapi kweli. Mara "horodha"
Imekuwaje wakenya wamechukua account yake!?

How au wamemteka. This is serious war.

Hii ni vita aisee. Wenzangu mliomo humu msijaribu kuhusiana na wakenya na kuwaambia ninyi ni member wa JF. Tunawaumiza sana.

Huyu joto la jiwe tulikuwa na msemo wa kupiga panapouma.
Leo sio yeye.
 
Usikimbie ni Mimi mwenyewe. Muda wote ninesisitiza kwamba, sio rahisi kupata idadi kamili ya magari zaidi ya kutumia Gari zilizokua registered nchini. Kwa kutumia njia hiyo unaweza kujua ni nchi ipi yenye Gari nyingi, data iliyowejwa na Simon hapo juu inaonyesha Kenya ipo juu ya Tanzania, au hata hiyo unapinga?_ basi tuwekee data unayoiamini wewe, kama huna data, basi tukubaliane na hiyo ya simon hapo juu
Oya sikia. Uzi huu una miaka mitatu.
Na hiyo hoja ilishaletwa mika mingi sana.
Hiyo hoja ni ya Beforwad. Ni statistics za hiyo company. Yaani watu wanaoagiza magari kupitia Beforward.

Vile vilevhoja hiyo ilikuwa imejikita katika ratio.
So kama ratio ya kenya 30/1000
Then Tanzania ni 26/1000
zidisha kwa population

Kenya 30/1000 x 50000000
Tanzania 26/1000 x 60000000
KE 500000x30 = 1,500,000
TZ 60000X26 = 1,560,000

Sasa twende na facts zako
 
Back
Top Bottom