Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hata katika NO za millionaires ilikiwa ni hivi,kuumbeee.

mimi ninachoamini tz hatuko makini katika data,hii inanipa wasi wasi hata katika swala zima la uchumi.inawezekana hali ni tofauti sana.

nairobi kwa eneo tu inaingia mara 2.5 kwa dsm,msongamano wa magari katika barabara zake si kugezo cha wingi wa magari,inafaa kufikiri kwa uhuru kidogo.
Kama hoja nzito ya mamilionea tumewazidi Kenya itakuwa ya magari ,wanaosea Kenya imetuzidi magari watuambie vipi tumewazidi mamilionea
 
hata katika NO za millionaires ilikiwa ni hivi,kuumbeee.

mimi ninachoamini tz hatuko makini katika data,hii inanipa wasi wasi hata katika swala zima la uchumi.inawezekana hali ni tofauti sana.

nairobi kwa eneo tu inaingia mara 2.5 kwa dsm,msongamano wa magari katika barabara zake si kugezo cha wingi wa magari,inafaa kufikiri kwa uhuru kidogo.
NBS Tanzania is leading in Africa on data accuracy!
 
Kama hoja nzito ya mamilionea tumewazidi Kenya itakuwa ya magari ,wanaosea Kenya imetuzidi magari watuambie vipi tumewazidi mamilionea
Milele hakuna kitu kama hicho....DSM tuu ni kubwa kuliko Nairob,kampala na kigali in combine..sasa iweje ..kiji Nairobi kiwe na magari mengi ama kenya....never on earth....pia ikumbukwe most of the Kunyaland is inhabited....nazungumzia huko kaskazini mwa kenya....gari kule hupita baada ya miezi kadhaa.
 
Hivi unajua hatukuelewi!!
Lengo lako hasa nini labda!!
Yaani ww kama tupo wote Jeshini Ukaleta hizi story zako nakupa shaba
Acha kujivunjia Heshima basi
Hahahaha, tatizo wengi mumedandia Gari kwa mbele. Lengo langu lilikua kujibu hoja ya yule "Variable" ambaye alikua anasifia Kenya kwa kujenga barabara nyingi za njia NNE, na kuikashifu Tanzania kwa kutojenga hizo barabara za njia nne matokeo yake akawa analamikia foleni.

Mimi nikasema kwamba huku Tanzania mahitaji ya hizo njia nne sio mengi ukilinganisha na Kenya kwasababu nchi yetu ni kubwa kwa hiyo ukichukua ratio ya idadi ya magari na kutafuta "Vehicles density" vs Kenya, utagundua kwamba Kenya wana Gari nyingi kuliko Tanzania, hivyo Kenya wanasumbuliwa zaidi na Traffic jam kuliko Tanzania. Umenipata?.
 
Oya sikia. Uzi huu una miaka mitatu.
Na hiyo hoja ilishaletwa mika mingi sana.
Hiyo hoja ni ya Beforwad. Ni statistics za hiyo company. Yaani watu wanaoagiza magari kupitia Beforward.

Vile vilevhoja hiyo ilikuwa imejikita katika ratio.
So kama ratio ya kenya 30/1000
Then Tanzania ni 26/1000
zidisha kwa population

Kenya 30/1000 x 50000000
Tanzania 26/1000 x 60000000
KE 500000x30 = 1,500,000
TZ 60000X26 = 1,560,000

Sasa twende na facts zako

safi .. thou haya ni makisio tu na sio fact au actual
 
Road in a desert. Laisamis.
Ec3PxmmX0AAQrRR.jpg
Ec3PzrJWoAA6kuM.jpg
 
Tupo pamoja sana wapambanaji, ila jaribuni kusoma hizo points zangu kwa undani mtanielewa nini ninamaanisha, nilikua ninahenga hoja ya kuonyesha kwamba Tanzania kwa sasa hatuhitaji sana hizo barabara za njia nne huko mikoani kwasababu hatuna foleni katika mikoa mingi ukiachana na mikoa michache kutokana na "vehicle density" yetu kuwa ndogo ukilibganisha na Kenya kwasababu ya ukubwa wa nchi na idadi ya magari katika ya Kenya na Tanzania.
Sikh nyingine tukiwa tunapambana tambua lengo la adui yako


Hao watu hawataki kusikia tunawazidi chochote. Wanatuchafua kila kona
 
Hahahaha, tatizo wengi mumedandia Gari kwa mbele. Lengo langu lilikua kujibu hoja ya yule "Variable" ambaye alikua anasifia Kenya kwa kujenga barabara nyingi za njia NNE, na kuikashifu Tanzania kwa kutojenga hizo barabara za njia nne matokeo yake akawa analamikia foleni.

Mimi nikasema kwamba huku Tanzania mahitaji ya hizo njia nne sio mengi ukilinganisha na Kenya kwasababu nchi yetu ni kubwa kwa hiyo ukichukua ratio ya idadi ya magari na kutafuta "Vehicles density" vs Kenya, utagundua kwamba Kenya wana Gari nyingi kuliko Tanzania, hivyo Kenya wanasumbuliwa zaidi na Traffic jam kuliko Tanzania. Umenipata?.
Kenya hawana magari mengi zaidi ya Tanzania! sasa jiulize kwanini mining firms kama Sandvik wana ofisi Mwanza! Au magari kwako ni private cars tu? Na hata ukiangalia mabasi, Tanzania ina safari nyingi za mabasi kuelekea mikoani ukilinganisha na Kenya! Again wacha kuropoka! Logic yako ni ya kishamba haina scientific back up! Ati hatuhitaji highways kwa vile nchi kubwa!
 
Muhimu ni hiyo Gari au private jets kuwa imesajiliwa Kenya. Lakini katika hili Mimi ninazungumzia wakenya kumiliki private jets na helcopters. Kumbuka kwamba helicopters nyingi zinazotumika hapa Tanzania zinakodishwa toka kwa wakenya?.

Helicopter iliyotumiwa na DEO Filikunjombe na kusababisha kifo chake ilikua ya Kalonzo Musyoka, Rutto anayo Private helicopters, Musalia Mudavad, Raila na wabunge wengi wa Kenya wanazo.

Upande wa Private jets; Chris Kirubi, na baadhi ya wakurugenzi kadhaa wa Kenya wanazo Private jets. Je kuna watanzania wangapi wenye private jets na Helicopters?
chriss kirubi ni watu wa serekalini na ww unajua wazi kua wezi wa kenya ni politician mbona liko wazi leo hushangai kenyata anamiliki ardhi ya kuweka wakenya million 20 kwao jambo la kawaida, alaf usifkiri labda matajiri wa tanzania hawana uwezo wa kununua helicopters la hasha hela watu wanazo lakini bado hawajaona umuhimu
 
Kaka mbona hutaki kujibu hoja zangu?, vipi wakenya watuzidi katika kumiliki Private jets na Helicopters lakini katika MAGARI unakataa?. Vipi watuzidi katika idadi ya viwanda, idadi kubwa ya wazungu, idadi kubwa ya UN employees, idadi kubwa ya embassies, idadi kubwa ya International companies ambavyo vyote hivyo vinanunua na kutumia idadi kubwa ya MAGARI, lakini unapinga Kenya kuwa na idadi kubwa ya MAGARI?, huo ujasiri wa kupinga unautoa wapi?
sasa kwann bakhresa anamiliki expensive boats pamoja na zakaria lakini kenya hakuna mambo hayo hilo pia hushangai na mbona
 
Naomba wewe uweke facts kama unazo. Huwezi kupata facts za idadi ya magari kkiurahisi kwasababu kila siku kuna MAGARI yanayoingia nchini na kuna ambayo yanatoka barabarani kwa sababu mbalimbali.

Ushahidi wa kimazingira yanaweza kutoa picha halisi, hiyo hapo horodha hapo juu inaonyesha Kenya ipo na Gari nyingi kuizidi Tanzania. Kama unaoushahidi tuwekee ili tulinganishe.
facts zinaonesha kenya vyombo vyote vya moto vimesajiliwa ikiwemo pikipiki na bajaj na magari kwa pamoja in 2018 walikua na 2.9m

ikiwa dar pekee 2012 ilikua na magari million moja ukitoa bajaj na pikipiki? vp kuhusu tanzania nzima na vp kuhusu 2019👇👇

841731EE-3073-45CA-B63D-6B88FA4B2D2F.jpeg
 
Kenya hawana magari mengi zaidi ya tanzania! sasa jiulize kwanini mining firms kama Sandvik wana ofisi mwanza! Au magari kwako ni private cars tu? Na hata ukiangalia mabasi Tanzania ina safari nyingi za mabasi kuelekea mikoani ukilinganisha na Kenya! again wacha kuropoka! logic yako ni ya kishamba haina scientific back up! Ati hatuhitaji highways kwa vile nchi kubwa!
Pole sana Geza.

Which African Countries Have the Most Cars on the Road?
 
Back
Top Bottom