Gwakagwaka
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 525
- 1,424
Kweli. Wamerukia tu jina SGR. Hii yao ni TAZARA kabisaNdo mana nasema kenya hawana sgr wanabisha
Kweli. Wamerukia tu jina SGR. Hii yao ni TAZARA kabisaNdo mana nasema kenya hawana sgr wanabisha
heshimu neno TAZARA.Kweli. Wamerukia tu jina SGR. Hii yao ni TAZARA kabisa
Kama kawaida yenu "copying n pasting" hiyo ni Eiffel tower ya France!
Kama kawaida yenu "copying n pasting" hiyo ni Eiffel tower ya France!



na hiyo nyingine sio lack of creativity majengo mengi nairobi wanaiga yale ya London!Kama kawaida yenu "copying n pasting" hiyo ni Eiffel tower ya France!
Huyu mkulima anatuaibisha sn co tu kutukosesha mapato, km anatudai c alipwe mana km tunaweza kuwalipa yapi merkezi tunashindwaje kamtu kamoja? Yn kamtu kamoja tu ndo katusumbue hv labda huyo mkulima ndiyo SA ynyw lkn co mtu mmoja eti asumbue nchi kubwa kama Tz.
MY TAKE
Mkulima anaiminyia sana Air tanzania route ya SA!
Ila mnajua kuwaumbua, yn huu uzi umewafanya Wakenya wajione wapumbavu sana japo hawasemi humu ila wanajidharau sn


Yani nyie ni majinga sn.
Yaani mkuu umepatia mule mule!
facebook 😂😂😂😂😂😛😛😛☝umeitoa wapi hii? itakuwa twitter watu wanacharurana tayari!



Hapo patakuwa na muonekano konki sn apo, natumai pakiisha tu tunaongezea kwny ile video yetu ya unforgettable


We bwana tafadhali bwana


