Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa
tapatalk_1594562688685.png
tapatalk_1594562697632.png
 
Kiswahili kwako n kigumu Nairobi sio kama london ila inabaadhi ya towers n copy ya towers zilzoko london

Sasa unapo sema nairobi kama london wakati unajua kabisa nairobi iko mbali kwenye maswala ya utalii wa Slum na london haija bahatika kuwa na SLUM
utalii wa slums! Kuna documentaries nyingi kuhusu slums za Nairobi, utaona wazungu wangi wanakwenda huko kwenye slums kuonyesha Kenya ilivyo. Kibaya zaidi, wakenya wanawaogopa sana wazungu.
 
utalii wa slums! Kuna documentaries nyingi kuhusu slums za Nairobi, utaona wazungu wangi wanakwenda huko kwenye slums kuonyesha Kenya ilivyo. Kibaya zaidi, wakenya wanawaogopa sana wazungu.
kwenye hio sector kwakweli wako mbele na naskia kibera hata top 3 haimo kwenye slum za kenya sema n maarufu sabab ipo nairobi
 
Nina uhakika Kenya hawana dira ya maendeleo ya miaka kumi or ishirini, yaan wao watakapozinduliwa na Mchina au Mzungu wanatembea nayo hiyo hiyo.

Mara paap wamekuja na treni inayotoa moshi wa mkaa, Mara paap tuponee na hela za Covid-19. Mara paap wanafunzi kuleni utawala binafsi mpaka mwakani msitusumbue wakati tunavuta mpunga wa Covid-19, Mara paap tuanzishe BBI yaan hawana muelekeo.

Wakenya mshajambia kwenye Maji alafu mnagoma kukubali wakati watu tunaona bubbles.
 
Nina uhakika Kenya hawana dira ya maendeleo ya miaka kumi or ishirini, yaan wao watakapozinduliwa na Mchina au Mzungu wanatembea nayo hiyo hiyo.

Mara paap wamekuja na treni inayotoa moshi wa mkaa, Mara paap tuponee na hela za Covid-19. Mara paap wanafunzi kuleni utawala binafsi mpaka mwakani msitusumbue wakati tunavuta mpunga wa Covid-19, Mara paap tuanzishe BBI yaan hawana muelekeo.

Wakenya mshajambia kwenye Maji alafu mnagoma kukubali wakati watu tunaona bubbles.
mkuu maneno yako makali mno ni ya kweli
 
Nina uhakika Kenya hawana dira ya maendeleo ya miaka kumi or ishirini, yaan wao watakapozinduliwa na Mchina au Mzungu wanatembea nayo hiyo hiyo.

Mara paap wamekuja na treni inayotoa moshi wa mkaa, Mara paap tuponee na hela za Covid-19. Mara paap wanafunzi kuleni utawala binafsi mpaka mwakani msitusumbue wakati tunavuta mpunga wa Covid-19, Mara paap tuanzishe BBI yaan hawana muelekeo.

Wakenya mshajambia kwenye Maji alafu mnagoma kukubali wakati watu tunaona bubbles.
Inaelekea kila bepari mwenye wazo hata la kijinga anapiga hela.

ila hapo kwenye Gari moshi la makaa kumewashikisha ngebe sana,najiuliza hizo hela wangewekeza ku improve yale makazi ya ma slums na kuyafanya bora..hela ingerudi within 10 yrs.

Kunyaland ni kichwa cha mwendawazimu.
 
Hiyo ndio shida na ugumu wa uongozi katika inchi hizi za dunia ya tatu. Kumbuka kwamba, kazi mojawapo ya Serikali ni kuhakikisha pesa inazunguka katika uchumi kwa njia mbalimbali, moja wapo ni kuiwezesha sector binafsi kwa kuzipa tenda za kazi.

Serikali isingeshindwa kuukabidhi mradi wa BRT kusimamiwa na SUMA JKT, au kuamua kusiwepo na Private security Companies badala yake wakatengeneza kitengo ndani ya jeshi kwa ajili ya kufanya kazi ya kulinda, kwa kufanya hivyo tusingesikia wizi wa pesa zinazohamishwa kutoka Benk, na jeshi lingepata pesa nyingi sana.

Hivi kwanini hizi kazi za ujenzi wa reli ya SGR na ukarabati wa reli za Zamani, Serikali haikuamua kutumia wanajeshi na JKT ambao wapo katika kambi na hawahitaji kulipwa kwasababu tayari wanaomshahara wao, huoni kwamba tungepunguza sana gharama za ujenzi na ukarabati?.

Lazima Serikali itoe kazi kwa sekta binafsi ili kuchochea uchumi, kinachohitajika ni kuyasimamia hayo makampuni binafsi ili yafanye kazi yenye ubora unaokubalika, mbona hiyo barabara ya Kibaha inafanywa na kampuni la kitanzania lakini ipo vizuri sana, mbona Stendi mpya ya Dodoma imejengwa na watanzania, mbona Songoro marine ni watanzania?
Ndiyo secta binafsi ni muhimu ila si vyema kuiacha inatuharibia kazi na kutupotezea muda mfano ni ndege tunge achia sekta binafsi hadi Leo tusingekuwa na midege ya maana maendeleo ya nchi ni muhimu kuliko secta binafsi mbovu

Send by APOLO 1
 
Zile slums ni deal ya kuombea mikopo,kunyaland bila mikopo aiendi ndio maana kutwa kujipendekeza kwa wazungu
utalii wa slums! Kuna documentaries nyingi kuhusu slums za Nairobi, utaona wazungu wangi wanakwenda huko kwenye slums kuonyesha Kenya ilivyo. Kibaya zaidi, wakenya wanawaogopa sana wazungu.
 
Back
Top Bottom