Bila shaka viranja wanavyoona utata wa Magu halafu wakicheki historia yetu miaka ya nyuma wanajisemea kimyakimya mtoto wa nyoka ni nyoka tuDaima tumeonyesha kuwa Taifa Huru kweli kweli....na sasa tunakamilisha Uhuru wa Kiuchumi.
Afrika tatizo ni umaskini mkuu ndiyo maana watu wanakuwa wanafki.Tuko na upinzani wa ovyo sana,
Mimi kinacho nishangaza ni wapinzani walivyo kuwa wanalazimisha serikali iweke lockdown na kufungia watu ndani lakini cha ajabu sasa hivi wanafanya mikutano yao ya ndani wanajazana halafu hakuna social distance wala kuvaa barakoa.
Ndio kuna millionaire wengi kama Tz sababu noti ya elfu moja ya Kenya huko ni millionZimbabwe kuna matajiri wengi kule hakuna maisha ya kipuuzi kama kenya
Tanzania is just a shithole country
Na wew unaelezea nini wakat icho kinchi chenu hakipo hapo...hao zimbabwe wapo so tuliza kendeNdio kuna millionaire wengi kama Tz sababu noti ya elfu moja ya Kenya huko ni million
Ila wakiandika uwongo kuhusu Tz kwako ni sawa kabisa wala hulalamiki!Some Kenyans really annoy me...when u go to twitter, fb and other platforms, anything they talk about Kenya is negativity alone.it's time we start appreciating what our government have done so far and pray for more


Kwa hiyo kulingana na mawazo yako Tanzania ni heri kushinda Cuba na Croatia?View attachment 1489707View attachment 1489708
Habari za vijiweni au? Leta link ya world bank sio porojo Susan.
Ccm nyie na kupika data ni kama chada na Pete.
Susan bado hujapata link ya world bank kua Tanzania inaingia middle income?
Nilikwambia uachange porojo na kuongea vitu ambavyo unataka kuviskia wewe.
Ni dollar millionaire,sio millionaire kwa hizo elfu zenu za madafuNdio kuna millionaire wengi kama Tz sababu noti ya elfu moja ya Kenya huko ni million
I know you kenyans were in denial stage,but tunafuraha kuona mnakubali taratiiiiiibu...
Yuko wapi huyu bwege aje afute huu ujinga wake?Hii ndio rangi halisi ya wakenya ukiona nyingine ujue ni unafiki![]()
Yuko wapi huyu bwege aje afute huu ujinga wake?
Itakua hadi Leo anatembea na mavi alitojiharishia siku alipothibitisha ukweli.Sidhani kama alipata usingizi Tz ilipoingia middle income.
Itakua hadi Leo anatembea na mavi alitojiharishia siku alipothibitisha ukweli.