Alafu mtu anakuja eti oohh wakati wa Mkapa na Jk per capita ilikuwa inaongezeka kwa rate kubwa kuliko huyu, wehu kweli hawa hzo per capita cc zilitusaidia nn zaidi ya kushuhudia ufisadi uliotapakaa, naomba waelewe kwamba cc hatutaki hzo cjui per capita cjui utumbo gn wabaki nao wenyewe but cc tunataka kuona tunajenga reli cc wenyewe, umeme haukatiki katiki, tunajenga flyovers kila pembe, tunanunua ndege za kutosha, tunajenga hospitali kila kona ya nchi, tunajenga masoko na stand za kisasa, tunajenga mabwawa ya umeme kwa kadri tunavyoweza, tunajenga barabara za kiwango cha juu na co zile barabara white

zao, hayo mambo cjui per capita income cjui mautumbo gn wabaki nayo wenyewe.