Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na huu ushuzu wote, failed states kama Zimbabwe bado ina GDP/capita kubwa kuliko Tanzania??
Screenshot_20200704-043526.jpg
 
Geza Ulole do you know anything about the Kionga Triangle south east of the Ruvuma river? Go and research at you own comfortable time. And most importantly stop calling people names without any critical evidence.
Sorry Nimeomba evidence
 
Hivi hizi barabara za pembeni mwa reli kuna mpango wowote wa kuziboresha kwa kuweka lami?

niliwahi kusema/kuuliza hili.. kuna watu wakasema hilo ni eneo la TRC sio TANROADS au TARURA ... ila nadhan kuna barabara zitajengwa za kuendea vituoni kutoka barabara kuu za maeneo husika ila sio barabara za kufuata reli nzima (parallel)
 
Na huu ushuzu wote, failed states kama Zimbabwe bado ina GDP/capita kubwa kuliko Tanzania??View attachment 1497067
Truth tz tupo $1800 huo ndiyo ukweli wewe niambie nchi kama Zambia inawezekana vipi kushinda tz Mabeberu wanachukia tz kwa sababu ya ujamaa wetu na historian ,sisi hatujali report za makaratasi hata wakenya na wageni wote wanao fika Tanzania huona huo ukweli ndiyo maana tz Mara zote inakuwa surprise machoni mwa wageni uchumi wa Zambia hata wa Ghana ni wamakaratasi hapa Africa ni tz pekee inayofanya mapinduzi ya kweli kiuchumi na kwakuthibitisha hilo wewe subiri utaona namna tz inavyo anza kuchukiwa na viongozi uchwara wa Africa kwa kuhofia wananchi wao kuwakataa kwa sababu ya influence ya tz
 
Truth tz tupo $1800 huo ndiyo ukweli wewe niambie nchi kama Zambia inawezekana vipi kushinda tz Mabeberu wanachukia tz kwa sababu ya ujamaa wetu na historian ,sisi hatujali report za makaratasi hata wakenya na wageni wote wanao fika Tanzania huona huo ukweli ndiyo maana tz Mara zote inakuwa surprise machoni mwa wageni uchumi wa Zambia hata wa Ghana ni wamakaratasi hapa Africa ni tz pekee inayofanya mapinduzi ya kweli kiuchumi na kwakuthibitisha hilo wewe subiri utaona namna tz inavyo anza kuchukiwa na viongozi uchwara wa Africa kwa kuhofia wananchi wao kuwakataa kwa sababu ya influence ya tz
Tanzania ndiyo nchi pekee Afrika ambayo ni nchi, zingine zote ni mikusanyiko ya makabila - Prof kabudi. Halafu zaidi ya hapo tunaongea lugha moja na tuna utamaduni mmoja. Hivi vitu watu wanavichukulia poa lakini ndiyo msingi wa amani na maendeleo.

Tukianza kurasimisha mpato yetu yote, GDP yetu itakuwa mara tatu ya hiyo, ona tuu tulivyoanza kujenga masoko ya madini, mapato yalivyoongezaka ghafla (kama mara kumi). Sasa fikiria tukifanya hivyo kwenye nyumba zote nchini, kwa wakulima, wavuvi, wafugaji n.k

Halafu kuna njia nyingi sana za kutengeneza miundombinu ya biashara, mfano serikali inaweza kuweka mfumo wa anwani za nyumba na sehemu za biashara. Hii inaweza kufungua tasnia mpya ya biashara za vitu mitandaoni na kuleta fursa kwa kuanzishwa kwa kampuni za usafirishaji. Mtu anaweza kununua mazao au samaki mtandaoni na kusafirishiwa mpaka mlangoni mwake. Kampuni kama Amazon ilifanikiwa kwasababu ya mfumo madhubuti wa anwani kuwepo nchi za magharibi.
 
Back
Top Bottom