Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Link na wakati mlikua mnabwetuka wenyewe na zile zenu
Hii ngumu kumeza aisee..
Yani miezi mianane bado mradi unashindwa kupngeza hta 10%
uehhehehe mamamee this time hamutakaa sawa kiakili๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

sio uchawi wala sio ndumba๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
D97D1CEC-1EE5-41FB-BB05-71B2FC8F8509.jpeg
2E743302-D94E-49CD-87C1-0CAA7E54187C.jpeg
8174F125-2DCE-4B2E-9335-1CB1B353A021.jpeg
4E981892-2223-412E-BEA2-AC89DD03BB5B.jpeg
 
nimecheka sana kaka,ukisikia kenya engeneer ndiyo hao sasa

Nyeri mji mdogo. Hii pia sio main stendi yake.
Huu pia nao ni mradi ya MCA. Ama mnavyowaita Tanzania, councillor. ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Mnalinganisha na stendi ya capital city ya Dodoma, mradi wa serikali kuu.

Mwache vichekesho.
 
Nyeri mji mdogo. Hii pia sio main stendi yake.
Huu pia nao ni mradi ya MCA. Ama mnavyowaita Tanzania, councillor. ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚

Mnalinganisha na stendi ya capital city ya Dodoma, mradi wa serikali kuu.

Mwache vichekesho.
mpanda bus stage ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ww unakichaa kichwani
CC9A8EA6-E878-4AA7-AACA-6B2491E251B4.jpeg
718DF914-0DCB-44BA-9EF1-8AC5B0FD6D2C.jpeg
33624443-314D-437F-A553-7CEA1C78AE01.jpeg
 
yani huu ndio ujinga wa hawa watu yani wanahisi tanzania ndio mshindani wao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚



Naona bado hujaweza kuelewa sarcasim.
Huyo anasema hivo kikejeli. ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Sababu Tanzania pia iko kwa list ya kutoingia EU.
 
Back
Top Bottom