Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ 1963 ya kwenye kende

Mkifika hapa ndani ya jiji piga picha tuje tumpigie makofi.

kp.JPG
 
Hio ni new deal. Pilot ilianza kitambo. 2011 wakaifanya official.
Cha muhimu, LDC Tanzania nyuma ya Kenya kila wakati.

Sasa hivi tunaelekea kuweka power lines zingine underground. Konza city hio ishafanyika.
Hio mtaanza 2050.
Mnategemea kuweka underground wkt Dodoma tayari ishapitishwa hyo [emoji3][emoji3]
 
Vipi kusu stend bora, BRT na electric trains mtaweka lini ili tuwaige bila kusahau cable bridges....nadhan itakuwa 2050 sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] kunyans bhna shida tupu

Mkipata fununu ya kujenga kitu kama hii, leta hapa tuone.

 
Back
Top Bottom